Kimini cha kitenge kitaniua mwenzenu

Kimini cha kitenge kitaniua mwenzenu

Unajua sijakuelewa kabisa, nini kimekusukuma kuanzisha uzi.. Ni kitenge au kimini au ni hivyo viroba au una stress za maisha
 
Safi sana na siku zote usikubali kuishi maisha ya watu

Hallo Honey acha kujiliwaza. Ukweli kila mwanamke anafurahi akipendeza. Ile kusema siishi maisha ya watu wengine ni kujidanganya. Mbona unalilia kwenda na fassion, hii yote ni kupendeza mbele ya wenzio na kuwa appreciated. mbali na hilo we unajifahamu miguu yako ungeishia kuiona chumbani kwako bila kuonwa na mtu mwingine. Hebu jiulize kwanini huwa mnajikwatua kabla ya kutoka ndani? Hii yote ni kutafuta mwonekano wako mbele ya wenzio. Ndiyo maana kama mwanamke hana mpango wa kutoka na ameshinda ndani siyo kama unavyokutana naye njiani. Kwahiyo kusema hujali watu wameona nini si kweli na nina imani na wewe hilo unalifahamu. Tuache kudanganyana na kukubali hali halisi. Mungu anaweza asiwe amekujalia mguu lakini labda una strength nyingine kama sura vile, n.k. Ni vyema tukakubali kizuri ni kizuri tu.
 
Sasa huyo akivaa mini si utamfuata mpaka anakoishia...suruali zina asavali...

hahahaha, mimi siyo mgonjwa kihivyo, kuna jamaa yangu yeye akiona michirizi tu nyuma ya goti basi na safari inaishia hapohapo! kweli suruwali asavali kidogo.
 
Ha ha ha labda ndio maana wanaita michirizi ya utamu...lol

hahahaha, mimi siyo mgonjwa kihivyo, kuna jamaa yangu yeye akiona michirizi tu nyuma ya goti basi na safari inaishia hapohapo! kweli suruwali asavali kidogo.
 
Njoo kwangu nikuuzie kitenge wax from congo nakudesignia kabisa kazi kwako kumpelekea mamaa apendeze gharama haifiki hata 50k,
 
81299381f51248ef83dfeac2d259cafa.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom