eliudkasekwa
New Member
- Jul 25, 2014
- 3
- 0
Duu muache sihashauliki wala haina jinsi
Bibi ana miaka 29, na dogo ana miaka mingapi? Kuna madogo wana miaka 24 wako a-level. Labda dogo anapenda mapenzi ya kudekezwa/kulelewa. Si ajabu yeye ndo alienda kumuimbisha dada wa watu.
kuanzia kama 29 hv mkuu.......
Heh, 29 ni bibi? Basi mie ajuza aisee.
pangaboi ndo inakuwaje mkuu hebu nifafanulie kidogo!!!!!
Heheheh maajuza tutakuwa wengi humu. Mtu akishakolea kuwaelewa wengine ni kazi mno.
Huyo mleta mada angekua mwanamke wake za kaka yake wangekoma....
kwahy mkuu ndugu yako mfano akiwa anatembea na mtu mwenye HIV na wewe unajua utamwacha!!!
so unanishauri nimwache mkuu.......!!!!