Uhuru una mipaka yake, freedom does not mean free. Hata sheria inapompa mtu haki kwa mkono mmoja inampokonya kwa mkono mwingine. Sio kweli kusema kwamba kabla ya mifumo ya ndoa tuliyonayo eti mtu alikuwa anazaa na kila mwanamke. Dhana ya ndoa na heshma yake ipo tangu dahari hapa kwetu Afrika. Ni...
Ifikie kipindi watu mjiheshimu na muwe serious humu ili hii forum iwe ya kutegemeka linapokuja suala la mahusiano. Yani jitu linakurupuka na vihadithi vya kitoto tu then linafuraaaahi kuona watu wanavyotiririka kushauri. Tubadilike jamani.
No inawezekana jina na kozi ipo sawa, kwenye kuandika chuo mtu akapitiwa. So kama alivyosema mkuu hapo si vyeti vitaeleza ukweli, la msingi tu kozi iliyowekwa hapo ilitajwa kwenye tangazo.
Talaka haombwi mume, nenda mahakamani. (Na kama ni kweli) unayo kila sababu ya kupewa talaka (kisheria) coz uhanithi ni sababu mojawapo inayoweza kuifanya mahakama kuhalalisha kuvunjika kwa ndoa.
Credit kwa huyo manzi wako sijui alisomea wapi namna ya kuacha. Akili kumkichwa ndugu yangu, unaweza usiamini kuwa mapenzi yamefika mwisho lakini ndio hali halisi. Hatuwezi kubisha kama unampenda & kiukweli am sorry for you sababu naweza kuguess ni namna gani unaumia, nakushauri tu chukua hayo...
Haitakiwi kabisa na ni fedheha hata tukibisha, haitakiwi wife akuzidi kipato. Si tulimuona Gadner alivyokuwa anapelekeshwa na Jay dee hadi akaamua kujitaliki mwenyewe.
Huwa napandwa na hasira nikisikia eti fulani kaiba mume/mke wa fulani. Unakuta kama ni bibie anakusanya shoga zake kadhaa waenda kufumania na kwenda kumtia adabu vilivyo "mwizi" huyo.
Kama ni mwanaume na yeye akusanya mabest zake kadhaa mabaunsa kwenda kumtia adabu mwizi huyo na ikibidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.