Nimfanyeje mpenzi wangu, nampenda sana

Nimfanyeje mpenzi wangu, nampenda sana

Mwambie wazi na bayana tena bila kupepesa macho aachane na huyo jamaa. Aking'ang'ania basi mwambie achague moja ima kuendelea na huyo jamaa lakini akukose wewe au kinyume chake, jibu utakalopewa litakusaidia kufanya maamuzi.
 
​Piga chini na kuangalia ustaarabu mwingine badala ya kulialia.
 
haya ni mapenz mkuu na hakuna mwenye kuyajua vizuri nimeweka mtandaoni japo nipate wazo litaloweza nisaidia japo kidogo CHANZO
Hilo sio tatizo mkuu....huyu HAKUFAI na ameshagundua wewe ni DHAIFU...wanamke akisha mvulia chup! KIDUME mwingine UKAJUA halafu anakupoza kwa kukwambia anakupenda.....Hebu chukua time yako kukumbuka jinsi unavyo mpaga mambo sasa LIJAMAA NALO LIMEKULA!!!!! Dah.....Hakuna ushauri hapo...JIKAZE KIUME ANGALAU KWA HILI (Inaonekana soft sana)
 
Credit kwa huyo manzi wako sijui alisomea wapi namna ya kuacha. Akili kumkichwa ndugu yangu, unaweza usiamini kuwa mapenzi yamefika mwisho lakini ndio hali halisi. Hatuwezi kubisha kama unampenda & kiukweli am sorry for you sababu naweza kuguess ni namna gani unaumia, nakushauri tu chukua hayo maumivu kama sehemu ya experience itakayokusaidia in the future then anza kusahau. Mapenzi ni mazuri pale panapokuwa na mutual affection and respect, kinyume na hapo ukiforce utakuwa unayatafuta makubwa kuliko hayo maumivu unayoyapata kipindi hiki cha mpito. Haingii akilini kabisa kwa mtu mwenye fikra zake timamu kukubaliana na hicho anachokisema bibie huyo. Just walk away coz huijui kesho na nini kipo kwa ajili yako. Hukuzaliwa naye huyo na wala haikuandikwa mahali kwamba yeye mi maji ya uzima kwamba ukimkosa utakosa ufalme wa Mungu (japo inauma, maumivu yana mwisho wake). Ndio changamoto hizo katika mapenzi.
 
Anafanya hivyo ili kukuumiza wewe roho hapo hapo anadai hatofanya nae mapenzi.

Piga, ua, galagaza huyo mpenzi wako ili mradi yupo karibu na jamaa kaa ukijua wanaselebuka hao
 
Anakuacha kiakili ili ujiongeze mwenyewe, tembea mbele siyo rizki tena hiyo
 
Mbaya zaidi ukiwaza yale unayomfanyia kuna kijeba kinamfanyia tena na zaidi lol..
 
Mapenzi haya shauriki mjomba .hasa kwenye mahusihano ya uchumba .labda hungemtoreha baruwa hungesahidiwa
 
Wewe mademu ndo staili zao siku iz izo...ataki kukosa kote kote....piga chini endelea na maisha mengine.

Nmegundua mademu wana gubu sana...mfano mwanzon yeye ndo analazimisha penzi baadaye eti anajifanya mjanja...uyo dawa yake wakati anakwambia ivo ungemwambia poa we endelea sie si tunapeana raha tu.
 
yote nayote asanteni sana nimepata kitu kutoka kwenu....

Big up kwenu pia mliodiss hii ni dunia tu inazunguka
 
Back
Top Bottom