Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
wee cheka tu,ule muda wa pindi pendwa ukifika sitaki kusikia oooh wazamini wamezingua, eti bando sina jipange mapemaaa
namba yangu ya mpesa si unayo do the needfull
wee cheka tu,ule muda wa pindi pendwa ukifika sitaki kusikia oooh wazamini wamezingua, eti bando sina jipange mapemaaa
Hahahahah ata avatar yako ianonyesha jinsi unavyofurai hongera
wapi miss neddy tena na jirani yake Heaven Sent njooni huku muone raha ya ndoa lol Via not married aha aha
Aaah wapi....vya kuiba ndo vitamu balaa
muonee! Umezoea wizi tu. Njoo huku unakula vyako kilaini unakimiliki mwenyew wanakuita mama flan mwanamke mwenzio kama alikuwa na mpango wa kumkumbatia jamaa akikuona tu anafyata mkia ka mbwa koko..
Karibu ktk ulimwengu wa kulala bila chupi
Sina wasiwasi wa kuibiwa kwa vile game nampa la kutosha hata akitaka daily. Mawe nnayo ya kutosha wala hana shida ndogondogo za kurubuniwa kirahisi. Matatizo ya familia yake namaliza. watoto wanasoma shule imara. Labda wamvizie wambake. Mi mwanaume bwana!
Huko kaeni wenyewe mi nlishazoea vya wizi
Yaani we acha tu. Mtu unamgegeda mkeo kwa raha zote, tena wala huvai mananihino kunako eti kuongopa ngoma wala nini. Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowooote ule. Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima. Jamani nyie msiyooa tafadhalini sana njooni kwa pande hizi muinjoy mpaka basi. Karibuni sana.
Yaani we acha tu. Mtu unamgegeda mkeo kwa raha zote, tena wala huvai mananihino kunako eti kuongopa ngoma wala nini. Yaani ni kutafuna tu pekupeku tena bila wasiwasi wowooote ule. Hata ukichunwa na mkeo wala huoni ubaya wake kwa vile anaendelea tu kustawisha mwili wake kwa ajili yako daima. Jamani nyie msiyooa tafadhalini sana njooni kwa pande hizi muinjoy mpaka basi. Karibuni sana.
Tena aache kabisa kujiamini mapenzi kitu kingine waeza tosheleza klakitu lakini mmmmpole pole wasikuskie umesema? mhhhh wew hujui tena siku ukija gundua analiwa na nan.??? we andika urithi mapema
shoga kwa uchokozi tu upo vizuri, muda wetu ukifika tutajiunga tu kwenye taasisi jamani lol,
Una muda gani tangu umeoa?
zaidi ya miaka kumi na bado naenjoy balaa
Chunga wasikuibie maana umemtangZa huyu wako kwamba mtamu wakati kuna wenye ndoa zao wanaona chungu. Na umetangaza kama nyumba za NHC