SERIOUSLY???? this is very funny, ha! unaripoti kwa kipi hasa au wantaka kuwabana wezi wao?? manake mi sio tatizo ukienda nje ya nchi kwa private issue zako then uripoti ikulu???? kweli serikali inko na pesa, ina maana ataajiriwa mtu wa kuhakiki hivyo vibali tena sio mtu watu, upande mwingine wa...
watanzania tunapenda sana kuangalia nyuma tukiwa tunakimbia,usiangalie umejikwaa wapi kazania kurekebisha ili usijikwae tena, hakuna mwanadamu asiye na madhaifu hata wewe naamini yapo madhaifu yako ,hakuna mkamilifu hata mmoja. hawa mawaziri wawili kwakweli kwa namna moja au nyingine wamejaribu...
duh wewe unaonekana ni mmoja wao,mbona umekuwa mkali na matusi juu au ndo umekunywa maji ya bendera ya uamsho,husikii huambiwi.hizi jazba ndo zinawafikisha pabaya, "hasira hasara yakheee" tulia.mbona mnawachukua wabara hivyo wakti wapemba wamejaa kariakoo na hakuna mwenye shida nao, sijui nani...
Licha ya kupingana na dereva wake, jamaa kuna vitu kijichanganya sana, anasema alipokuwa kwenye nyumba ya watekaji hakula chochote kwani hakuwaamini, SAWA! ila alikuwa anakunywa maji akienda msalani sasa ndugu huko msalani ulikunywaje maji wakti umesema ulikuwa umefungwa pingu na ulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.