Recent content by Fadhil kondo

  1. Fadhil kondo

    Nimekutana na Jini?

    Hakuwa jini ila ni baamedi
  2. Fadhil kondo

    Fedha zilizofujwa ubalozini UK nani anapaswa kuwajibika?

    Majipu inside and outside, wawajibishwe kwa aibu hiyo
  3. Fadhil kondo

    Lissu: Tunataka Rais Magufuli atuambie waliokwepa Kodi ni kina nani

    Tundu lisu ana umaarufu Wa kwenye mitandao na sio kwamba anajua sheria kama kina Mkono, Kabudi, lamwai, Mwema ni wakali sana
  4. Fadhil kondo

    Kuwazuia wahadhiri kusafiri nje ya nchi ni kuchimbia nchi kaburi la kitaaluma

    Tuache porojo, serikali haijakataza kusafiri is kwa kibali, tunaamini MTU msomi anaushawishi tena hata kujieleza huko milango iko wazi ,sasa wewe msomi ukishishindwa kujenga hoja za safari je MTU asiye mwanataaluma ataweza,? Labda mlalamikaji ni miingini kwa waliokuwa wanaenda nje ya nchi...
  5. Fadhil kondo

    Kimenuka jumuiya za kimataifa, Rais Magufuli hasomeki

    Atasomeka tu anapima break even point ya uchumi ikoje ili ajue anaenda kuomba mini, sio Leo unachaguliwa unakuwa na kiherehere angalia kwanza hesabu zako hasa kupunguza watu wanaozagaa bila kazi za kufanya wakiwemo wanaojichimbia mabondeni, ngoja amalize bomoa bomoa
  6. Fadhil kondo

    Jipu la utapeli Chuo Kikuu Dar (UDSM)

    Kama mumeo alijua ofisi in BICO iweje akutane na MTU kupanga dili mitaani? Sikh nyingine nenda ofisini sio mitaani hapo kisheria Wadelanga hana kosa ana haki kufanya shughuli zake za mitaani saa baada ya kazi Dada acha kukidhalilisha chuo UDSM
  7. Fadhil kondo

    Donald Trump: I Will Lock Mugabe, Museveni in Prison

    Hiki kifaa Mimi naona kinafaa kuja kusafisha ma dictator Wa Africa, napingana nacho kwenye kuzuia waislam wasiende USA
  8. Fadhil kondo

    Saed Kubenea: Sijagombea PAC, sijagushi jina wala Zitto hajui MwanaHalisi ilivyoanza

    No comment au làbda tuseme MTU Wa kwanza duniani kupata PhD alipewa na nani? Na MTU Wa kwanza kuendesha gari, ndege au Baja alipewana nani leseni? Huyu kubenea atakuwa amejivisha mabomu ya ukanjanja wakale na sasa anaturufisha enzi za ujima.asijifanye mjuaji na ajifunze kwa formal education...
  9. Fadhil kondo

    Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

    Hiyo Lowasa mzee wangu kigeugeu sana, haaminiki anataka nini na kama hatajirrkebisha atazidi kupotea, atulizane ajenge hoja zake kisayansi kuliko kukurupuka
Back
Top Bottom