Tuache porojo, serikali haijakataza kusafiri is kwa kibali, tunaamini MTU msomi anaushawishi tena hata kujieleza huko milango iko wazi ,sasa wewe msomi ukishishindwa kujenga hoja za safari je MTU asiye mwanataaluma ataweza,? Labda mlalamikaji ni miingini kwa waliokuwa wanaenda nje ya nchi...
Atasomeka tu anapima break even point ya uchumi ikoje ili ajue anaenda kuomba mini, sio Leo unachaguliwa unakuwa na kiherehere angalia kwanza hesabu zako hasa kupunguza watu wanaozagaa bila kazi za kufanya wakiwemo wanaojichimbia mabondeni, ngoja amalize bomoa bomoa
Kama mumeo alijua ofisi in BICO iweje akutane na MTU kupanga dili mitaani? Sikh nyingine nenda ofisini sio mitaani hapo kisheria Wadelanga hana kosa ana haki kufanya shughuli zake za mitaani saa baada ya kazi Dada acha kukidhalilisha chuo UDSM
No comment au làbda tuseme MTU Wa kwanza duniani kupata PhD alipewa na nani? Na MTU Wa kwanza kuendesha gari, ndege au Baja alipewana nani leseni? Huyu kubenea atakuwa amejivisha mabomu ya ukanjanja wakale na sasa anaturufisha enzi za ujima.asijifanye mjuaji na ajifunze kwa formal education...
Hiyo Lowasa mzee wangu kigeugeu sana, haaminiki anataka nini na kama hatajirrkebisha atazidi kupotea, atulizane ajenge hoja zake kisayansi kuliko kukurupuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.