Recent content by fabricantoil

  1. F

    CAG aibua ufisadi TPA ya Deus Kakoko, Ni mbaya kuliko wa Kigwangalla

    Me najaribu kuwaza kwa upana was chinichini ,yawezekana izi hela zilikuwa ni more than izo zilizotolewa ,kwa maantik hii inawezekana uhozo ni plenty than the № released Sent using Jamii Forums mobile app
  2. F

    Fahamu kuhusu kada ya biotechnology (bioteknolojia) na majukumu ya wataalamu wa bioteknolojia

    Mkuu Upo vzry sana shukran Nitumie articles zako email Hii foluomba33@gmail.com Sent using Jamii Forums mobile app
  3. F

    Kumekucha: Baraza la Mawaziri kivuli - Mbatia out

    Chief wenda ukawa sahihi but politics now is the tougher game Sent using Jamii Forums mobile app
  4. F

    GE2020 World Bank yapitisha Mkopo wa Zaidi ya Trillion 1 Uliopingwa na Wanasiasa pamoja na Wanaharakati

    Hawa majamaa wanafki sana tulishakubiliana izo hela zituzwe kwanza mpaka mchakato wa uchaguzi mkuu ipite ndoo wazitoe, ili zilenge field yenyewe. So now zikiletwa zitaelekezwa kwa uchaguzi, ila nawaza siyo kweli chamsingi tuombe upepo wa corona ipite mbali tyuuuu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. F

    Bunge la bajeti litahudhuriwa na wabunge wasiozidi 150, sijajua sheria inaruhusu au huu uamuzi ni sahihi? Na bunge kuanza saa nane mchana

    Tatizo siyo hao member 150, issue ni kwamba wataweza kupambania budget editing hyo Najarib kuwaza kwa mbali nikiwa nje ya Tropical Sent using Jamii Forums mobile app
  6. F

    Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa

    Wakuu nianze kwa kusema hivi ugonjwa huu inaweza kuwa season disease, nadiyo rahisi kumshsmbulia mtu mweusi kwa maans immunity ya black people ni strong. Kulingana na factor ya ukuaji. Nin maana yangu Inaweza ikawa world economic crisis. Ila kwa sababu na sis waafrika tupo duniani tujiadhari...
  7. F

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    OK, but kwa phD uliyo nayo, na research nyingi ulizo fanya. Je ili swala unalichukuaje ki mantiki kama msomi usiseme ni Tatizo kubwa wakti wew umesoma uchumi na umefanya kazi BOT kama mshari was uchumi. Tupe technique issues za kujikwamuwa mkuu,. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. F

    Tushirikiane tufanye kazi ( PC na simu repair)

    Mkuu kwema, mm nipo interested but unataka to alocate dar sehem gani Sent using Jamii Forums mobile app
  9. F

    Soko la mayai ya kuku wa kienyeji na hybrid

    Natafuta wafugaji wa kuku wa kienyeji na hybrid (chotara), nataka kufanya biashara ya mayai nipo maeneo ya dar so aliye nazo Naomba tuwasiliane kwa namba zifuatazo. Vilevile napenda kutoa fursa kwa yeyte anayependa biashara hii tuwasiliane pia Namba hii hapa . 0718247409 0714894219 Ahsanteni...
  10. F

    Nifanye biashara gani? Nataka kuingiza kipato cha ziada

    Mkuu umetisha, mwamba kipato chake ni vocha na vifurushithen unampa idea za mabilioni wakati milioni hana daah. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. F

    Serikali futeni elimu ya kidato cha tano na sita, haina faida

    Utofauti wake ni nn??? Haswa unaposoma pcm vitu ni vilevle except calculus ndo as ipo A-level then izo pgm, pcb kitu gan cha tofauti, but difference ni kwamba A- level wana kuwa more advance lakin still bado, utakuta mwanafunzi kasoma pcm yeah anaenda chuo anafundishwa engineering mathematic...
  12. F

    Kuna tofauti yoyote ya tabia na hatima ya hawa wawili: Miguna Miguna wa Kenya na Tundu Lissu wa Tanzania?

    Hawa majamaa wote wana mtizamo sawa hasa kwenye ishu ya uzalendo miguna, hanapenda haki ndo maana kasimamia msimamo wake dhidi yaserikali ya uhuru , at same time mh Tundulisu naya ni mzalendo wa kweli anapenda haki na kuwatetea wanyonge, kwa maana hyo wana upana mkubwa wa kutanguluza masilai ya...
  13. F

    IMF: The fastest growing economies in Africa 2020

    Kweli mkuuu uwezi kuilinganisha uchumi wa viwandaa... na nchi ambazo bado viwanda ni shida.. so serikal ya mh pombe ipo vzr tusubirie moderation ya deni lataifa kwamwaka huu, ndo tutajua Gdp imekaaje wazee. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. F

    Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

    Wewe unafanyia watu kazi, mwenye idea hana muda wa kuongea mambo mengi kiivyo.
  15. F

    Nahtaji serious business partners wa ufugaji wa kuku wa mayai

    Mkuu naweza, ila naweza kuwa your labour manager kuangalia na kuzisimamia na kuandaa kila ktu so kama tunaweza kufanya kazi niite then mm si itaji salary but me natka share after project profit Tywasliane through 0718247409 Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom