IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
- Thread starter
- #601
Some hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ya leo elimu ya kidato cha 4 inatosha kumfanya kijana kusoma chuo.
Nimejaribu kukagua daftari za ndugu yangu yuko kidato cha 5, mambo wanayosoma sioni kama yana tija. Sijaona utofauti wa Mwanafunzi wa kidato cha nne na tano kitaaluma.
Vijana wengi wanapoteza muda sana kusoma kidato cha tano na sita ni vema wasome moja kwa chuo wakimaliza kidato cha nne
Au nyie mliosoma kidato cha tano na sita tuambiane imekusaidia nini? Mfano usingeenda chuo ingekunufaishaje?
Sent using Jamii Forums mobile app