Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,246
- 34,196
Nakubaliana na wewe bora budget ipitishwe bila vikao vya bunge maana miaka yote huwa inapitishwa jinsi ilivyoletwaTetesi mwanzoni lilikuwa lisiwepo kabisa..then zikaja habari kwamba watakuwa Wabunge 50 tu per meeting..naona sasa ndio wamekuja na hiyo figure ya Wabunge 150 kwa kikao..
Anyway hata kama wangekuwa wote 300+, pale hakuna Bunge, ni takataka rubber stamp ya kupitisha mambo ya serikali.
Kwa ufanisi mfumo wa serikali ya JPM hata wabunge uwakilishi kwa kila mkoa 2 genda wanatosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenibariki sana.Ninashauri hivyo kwa sababu sijawahi kuona Bunge likikataa kupitisha bajeti yoyote, hivyo haina haja ya kujiweka katika hatari ya kuambukizana Corona.
Mkuu kuna sheria kwenye nchi hii ??, siku hizi kila mtu anafanya lake anavyoona inampendeza, na sijui watakao baki nje ni akina nani, naamini watakuwa wale wa upinzani tu, maana hakuna jinsi, tusubiri tuoneMabadiliko katika bunge la bajeti linaloanza Machi 31, Dodoma:
Hakuna maswali kwa waziri mkuu
Bunge litaanza saa 8 mchana hadi saa 12 jioni
Maswali na majibu yatatumwa kwenye 'tablets' za wabunge
Kura za kupitisha bajeti zitapigwa kwa mafungu
Waandishi wachache wataruhusiwa
View attachment 1404248View attachment 1404249
Ili iweje mnaaaAt least sasa liwe live
P
Upatikanaji wa wabunge 150 ukoje?
Wabunge wengine watakuwa wanahudhuria virtually. Na watakuwa wanachangia na kuuliza maswali. Sidhani kama ni tatizo kutengua kanuni za uendeshaji bunge kipindi kama hiki ambapo social distancing inahitajika kwa ajili ya kujikinga na maabukizi.Mabadiliko katika bunge la bajeti linaloanza Machi 31, Dodoma:
Hakuna maswali kwa waziri mkuu
Bunge litaanza saa 8 mchana hadi saa 12 jioni
Maswali na majibu yatatumwa kwenye 'tablets' za wabunge
Kura za kupitisha bajeti zitapigwa kwa mafungu
Waandishi wachache wataruhusiwa
View attachment 1404248View attachment 1404249