Narudia tena international awards tunazo kibao kama mchanga,usidhani kama mnatuweza,sie kimziki tupo mbali sana kitambo hata diamond hajatokea kulikuwepo akina TID,ray c,sir nature wote hao walikuwa wanachukua awards
Hamjitambui nyie,tumekubaliana BET kama kali amewahi shinda BET,we unaleta tuzo uchwara ambazo wasanii wa bongo wanazo kama mchanga,hizo afrimma ndo tunachukua kila siku,halafu kali kawa nominated BET mara moja,ndo ashindane na nani sasa
Mkapa stadium ina-host only local matches!????..una akili wewe,au shida ni English language!??..unajua simba sc hadi anafika 1/4 final caf anakuwa amecheza international matches ngapi?..hivi huko shule huwa mnasoma nini?
We matako tu,hujajibu kitu,kwanza unajua kiingereza..!??..kwanza hizo tuzo hazikuwa BET,ni tuzo uchwara flani huko nigeria, na category aliyokuwepo Kali si "best hip-hop in Africa" bali "best in hip-hop"..award za BET alizokuwa nominated Kali hakuchukua,alidondokea pua
Sisi tunazungumzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.