Recent content by faarhymes

  1. faarhymes

    The Law School of Tanzania - Maswali na majibu

    Makubaliano yakikuwa ni mwezi moja tu japo sio kwa maandishi, Sent using Jamii Forums mobile app
  2. faarhymes

    Hii imekaaje naomba ufafanuzi kisheria wana jamii

    Mimi ni fundi magari, na kuna mteja wangu aliniletea kazi miaka mitatu iliyopita na kunitelekezea gereji, cha ajabu alipokuja gereji na nikampa bili ya matengenezo pamoja na ulinZi kwa kipindi chote, cha kushangaza amepeleka polisi na kuniweka lockup cku tatu na kufungua kesi maakamani ya kuwa...
  3. faarhymes

    The Law School of Tanzania - Maswali na majibu

    Habari zenu wana jamii? Nawaombeni msaada kidogo wa kisheri plz, mfano mm ni fundi na kuna mteja alinitelekezea gari miaka minne iliyopita . ikawa alipotokea nilimpa bili ya matengenezo pamoja ma garama za ulinzi kwa kipindi chote ambacho akuwepo, matokeo yake kanigeuka ya kuwa kuna spea...
  4. faarhymes

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Hivi nipo Tanzania ao Kenya, Sent using Jamii Forums mobile app
  5. faarhymes

    RPC Arusha: Tunamshikilia mmiliki wa shule ya Lucky Vicent, atapelekwa mahakamani

    Mm binafsi cthani kama kumkamata huyo bosi. Ni solution kwani haskari polisi awakwepo barabarani? Na je kukamatwa kwake kutarudisha roho za malaika wale? ishu ni Ku take care yasije kutokea kama Yale Na sio kumchukulia hatua now it's too leit.
  6. faarhymes

    Mwakyembe, mburuze mahakamani Lowassa kesi ya Richmond

    Mwakyembe mwenyewe anayo kesi ya kujibu sasa wapi na wapi,
  7. faarhymes

    Prof. Muhongo: Serikali kununua umeme wa bei nafuu Ethiopia

    Serikali ya fisiemu itakuwa ya maigizo miaka yote.
  8. faarhymes

    Zanzibar : CCM wamesema wako tayari kurudia uchaguzi wa raisi wa Zanzibar

    Hakuna cha kurudia uchaguzi wala nini, aloshinda akabithiwe nchi kwani ni lazima ma ccm jamani? Heti kwakuwa ni mpinzani kashinda uchaguzi urudiwe jamani tumuogope mungu,
  9. faarhymes

    Rais Kikwete akabidhi Polisi Magari 399 mapya kati ya 777 leo Kurasini jijini Dar es Salaam

    Mkwara tu atutishiki na kura zetu tutazilinda kwa mujibu Wa sheria,
  10. faarhymes

    Lowassa aanza kubwaga manyanga, akimbia mdahalo

    Kwani na baunsa aliuthuria huo mdahalo? Acha upumbavu wewe raisi lowassa alichokifanya Leo ni zaidi ya mdahalo pumbav
  11. faarhymes

    UKAWA wahaha kuvuluga Mdahalo wa wagombea Urais!

    Hiyo midahalo ya tweza atutaki. Anachokifanya raisi wetu siku ya Leo ni kubwa kuliko hiyo midahalo,
  12. faarhymes

    'Maamuzi Magumu' na Tundu Lissu

    Wewe ni mpumbavu. Alafu nikuambie kitu hata Kama ingetokea hivyo aijalishi watanzania tumeshaamua mabadiliko ni lowassa na ukawa, na sio magamba na makufuli no,
  13. faarhymes

    Lowassa avaa pete ya Freemason, hii sio ishara njema kwa Tanzania

    Pumbavu zako, mmeshashindwa hoja mmebaki kutapatapa tu, lowassaa ndiye rais Wa Tanzania ajaye .
  14. faarhymes

    Program Note: Operesheni Funguka... Oktoba 5. Mabadiliko Hayabinafsishwi!

    It's too late, lowassa ndiye rais Wa awamu ya tano hata mseme nn sisi wananchi ndio tishaamua✌
Back
Top Bottom