Kwa Mlio chaguliwa unique academy karbuni
1.bachelor of information security
2.bachelor of Networking and Hardware
3.bachelor of information Technology
4.bachelor of software
5.bachelor of Networking
[emoji433][emoji433][emoji433][emoji407]
Mkuu hivi kwani sheria inasema watu wawe umbali kwa mita ngapi sssa ww kma nani usema watu wasilinde kuka zao wakt sheria ina states hvyo ww uwondoke zen wamtangazie nani xx ukisha indika watu wanakaa mita hizo kusubili matokea think big acha propaganda
Daaaah hii kali mbna vyuo vingne watu walisha kuwa selected vip tena ambao profile zao zipo vile vile capacity inaendelea pungua tu hivi kuna matumainI kweli mie najua watu hawakosi vyuo lakin kukusa mkopo so now vip vyuo na mkopo pia daaah
BRN wsnaangalia na mwaka pia ww n 2013 utakuwa tofaut na 2016 cz kuna kitu kinaitwa new grade na old grade xo wa old grade akipata two ni sawa na mtu alie pata 1 ktk new grade xo hilo lickupe shida ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.