Recent content by EZEKIEL MURUMBE

  1. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Huu muda uliotumia kuandika huu uchafu ungelima bustani ya mchicha baada ya wiki mbili ungekula
  2. E

    JamiiForums Tanzania Miezi mitatu nimetotolesha vifaranga 500 vya kuku wa kienyeji

    Nakupa mbinu Nirahisi hakikisha unakuwa na kuku kwaajili ya kuatamia tu na wengi kwaajili ya kutaga tu sasa Unafanya vipi 👇🏼 Chukulia mfano wa kuku 30 Tenga 15 wa kutaga na 15 kuatamia Hawa 15 wa kutaga wapatie Kila tete 5 jogoo mmoja hii ni kupata mayai Bora yenye mbegu za kutoa vifaranga Hawa...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuishi kijiji gani chenye jina la kipekee?

    Idindilimunyo
  4. E

    JamiiForums Tanzania Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

    Oya nimecheka kwa sauti 😂😂😂😂😂😂🙌🙌
  5. E

    JamiiForums Tanzania Nikienda Sokoni namuungisha mfanyabiashara Mwanaume na kumuacha mfanyabiashara Mwanamke Kwa sababu zifuatazo:

    Uko sahihi mdau ila namba nne 4 umenena vyema sana Wala hujakosea kabisa
  6. E

    JamiiForums Tanzania Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

    Nitafute hapa via Whatsapp ±256785474279
  7. E

    JamiiForums Tanzania Wafahamu hawa aina mpya ya panya

    Kweli mkuu upo sahihi kabisa hawa panya ni balaa zito hawaogopi mtu afu hawana haraka kabisa lakini pia Wana roho ngumu sana kufa, wanasauti Kali sana tofauti na panya hawa wa kawaida tuliowazoea kilichonishangaza sana hawafi kizembe Kuna mmoja nilikutana nae nimepiga sana panya anapiga kelele...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa Uwanja wa Taifa wagoma kuwasha taa, sasa mechi zote kuchezwa saa 10 jioni

    same to me bro! unacho kisema ni kweli mkuu uwanja ni wataifa how comes unakuwa na mmiliki?!
Back
Top Bottom