Kwanza nimshukuru mkuu wa nchi kwa kuchaguwa watu makini.kiukweli speech ya kamishina imenikosha.jamaa yuko vizuri sana na kwa maana hiyo mapapa wajiandae.
Duu pole sana jamaa angu.sema nini tumia hiyo dozi uliyoandikiwa na dr ni tiba sahihi kw Tatizo hilo.tena sio wewe wa kwanza kupatwa na tatizo hilo na dawa hiyo ndio tiba yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.