Kucheza kwa mtoto tumboni....

Naomba niwarekebishe kidogo tu wachangiaji waliotangulia, lugha sahihi kutumika kwenye uzazi ni wiki na sio miezi kwa sababu wa wiki 20 atasema miezi mitano na wa wiki 23 atasema miezi mitano wakati kuna mabadiliko makubwa hapo katikati.
Mtoto kucheza inatofautiana kutokana na mimba kama ni ya kwanza kwa mama au amewahi kubeba mimba hapo kabla.
-Kwa mimba ya kwanza ni wiki ya 18 mpaka 20

-Kwa mimba ya pili na kuendelea ni wiki ya 16 mpaka 18
Nimependa maelezo yako na inaonekana unauzoefu au ujuzi wa jambo hili,

Naomba nami kuuliza : vipi kuhusu mtoto kuchezea sana eneo la chini ya kitovu mara nyingi kuliko upande mwingine, kuna tatizo lolote!?

Na vipi kwa mama anayelala chali japo kwa saa moja kwa siku, anaweza kusababisha madhara yoyote!?
 
Nimependa maelezo yako na inaonekana unauzoefu au ujuzi wa jambo hili,

Naomba nami kuuliza : vipi kuhusu mtoto kuchezea sana eneo la chini ya kitovu mara nyingi kuliko upande mwingine, kuna tatizo lolote!?

Na vipi kwa mama anayelala chali japo kwa saa moja kwa siku, anaweza kusababisha madhara yoyote!?
upande wa mtoto kucheza sana inategemea na jinsi alivyokaa tumboni (lie and presentation), kama kichwa kipo chini na miguu ipo juu (vertex presentation) nadhani kichwa ndo kitakua chini ya kitovu na si rahisi kuchezesha kichwa sana, kama miguu na matako ndo ipo uelekeo wa chini (breech presentation) automatically kikawaida miguu ni rahisi kuchezeshwa sana kwa hiyo nadhani muone daktari wako akufanyie examination aone mtoto ana uelekeo gani, pia atakueleza vizuri zaidi.
Kuhusu kulala chali haishauriwi kwani inaweza kupelekea mimba kukandamiza mshipa wa damu unaorudisha damu kwenye moyo (inferior vena cava) ambo upo upande wa kulia, hivyo anashauriwa kulala kiubavu upande wa kushoto ambapo kuna abdominal aorta ambayo haiwezi kukandamizwa kwa kuwa ina presha kubwa na ina misuli imara.Kwa hiyo haruhusiwi kulala chali wala ubavu wa kulia.
 
Ni wiki 22 for sure regardless ni mimba ya ngapi labda kama umekosea tarehe. Na kwa wakati huu unatakiwa uwe umefanya ultrasound ya kwanza.
Mkuu wewe hujui medicine
Quickening kwa prime gravida sio sawa na
Multi parous
Mimba ya kwanza ni week 18 mpaka 20
Mimba ya pili ni week ya 16 hadi 18
 
Naomba niwarekebishe kidogo tu wachangiaji waliotangulia, lugha sahihi kutumika kwenye uzazi ni wiki na sio miezi kwa sababu wa wiki 20 atasema miezi mitano na wa wiki 23 atasema miezi mitano wakati kuna mabadiliko makubwa hapo katikati.
Mtoto kucheza inatofautiana kutokana na mimba kama ni ya kwanza kwa mama au amewahi kubeba mimba hapo kabla.
-Kwa mimba ya kwanza ni wiki ya 18 mpaka 20

-Kwa mimba ya pili na kuendelea ni wiki ya 16 mpaka 18
Good explanation
 
upande wa mtoto kucheza sana inategemea na jinsi alivyokaa tumboni (lie and presentation), kama kichwa kipo chini na miguu ipo juu (vertex presentation) nadhani kichwa ndo kitakua chini ya kitovu na si rahisi kuchezesha kichwa sana, kama miguu na matako ndo ipo uelekeo wa chini (breech presentation) automatically kikawaida miguu ni rahisi kuchezeshwa sana kwa hiyo nadhani muone daktari wako akufanyie examination aone mtoto ana uelekeo gani, pia atakueleza vizuri zaidi.
Kuhusu kulala chali haishauriwi kwani inaweza kupelekea mimba kukandamiza mshipa wa damu unaorudisha damu kwenye moyo (inferior vena cava) ambo upo upande wa kulia, hivyo anashauriwa kulala kiubavu upande wa kushoto ambapo kuna abdominal aorta ambayo haiwezi kukandamizwa kwa kuwa ina presha kubwa na ina misuli imara.Kwa hiyo haruhusiwi kulala chali wala ubavu wa kulia.
Be blessed, maelezo murua kabisa
 
Mkuu wewe hujui medicine
Quickening kwa prime gravida sio sawa na
Multi parous
Mimba ya kwanza ni week 18 mpaka 20
Mimba ya pili ni week ya 16 hadi 18
Naijua vizuri sana, soma vizuri nilichoandika. Nimesema 22 wks for sure, hivyo by 22wks ina include the primes and the multi parous not so?
 
upande wa mtoto kucheza sana inategemea na jinsi alivyokaa tumboni (lie and presentation), kama kichwa kipo chini na miguu ipo juu (vertex presentation) nadhani kichwa ndo kitakua chini ya kitovu na si rahisi kuchezesha kichwa sana, kama miguu na matako ndo ipo uelekeo wa chini (breech presentation) automatically kikawaida miguu ni rahisi kuchezeshwa sana kwa hiyo nadhani muone daktari wako akufanyie examination aone mtoto ana uelekeo gani, pia atakueleza vizuri zaidi.
Kuhusu kulala chali haishauriwi kwani inaweza kupelekea mimba kukandamiza mshipa wa damu unaorudisha damu kwenye moyo (inferior vena cava) ambo upo upande wa kulia, hivyo anashauriwa kulala kiubavu upande wa kushoto ambapo kuna abdominal aorta ambayo haiwezi kukandamizwa kwa kuwa ina presha kubwa na ina misuli imara.Kwa hiyo haruhusiwi kulala chali wala ubavu wa kulia.
Besides i've had three babies and let me tell you never have i experienced quickening at 16, or 18 wks. The book doesn't read the patient.
Mkuu wewe hujui medicine
Quickening kwa prime gravida sio sawa na
Multi parous
Mimba ya kwanza ni week 18 mpaka 20
Mimba ya pili ni week ya 16 hadi 18
 
Besides i've had three babies and let me tell you never have i experienced quickening at 16, or 18 wks. The book doesn't read the patient.
Mimba zinatofautiana,kuna normally and abnormality ....kusema wk ya 16-18,18-20...haimaniishi wote wanatakiwa wawe hivyo....Sometimes ni kama warning signs Tu ....Alafu mambo haya ukiwa muudhuriaji mzur wa clinic hata hutokuwa NA mashaka kuusu ujauzito wako
 
Wahi Hospitali sio dalili njema Tena upige Ultra sound kabisa

Jee Ana attend Clinic?
 
Naijua vizuri sana, soma vizuri nilichoandika. Nimesema 22 wks for sure, hivyo by 22wks ina include the primes and the multi parous not so?
Mimi nimekuelewa ila kuna watu hawajakuelewa. Ww umwzungumzia zaidi kuwa na uhakika usio na shaka kwamba ikipita hapo basi kuna tatizo mahala
 
Mimba zinatofautiana,kuna normally and abnormality ....kusema wk ya 16-18,18-20...haimaniishi wote wanatakiwa wawe hivyo....Sometimes ni kama warning signs Tu ....Alafu mambo haya ukiwa muudhuriaji mzur wa clinic hata hutokuwa NA mashaka kuusu ujauzito wako
That is why by the 22nd week she should have experienced quickening.
 
Wadau mtoto anaanza kuchezatumboni kuanzia mda gani? Maana mke wangu ana ujauzito wa miezi karibia sita na hakuna dalili za kurusha mateke tumboni . au kuna tatizo mwenye ujuzi tafadhari
Nadhani mhusika alikua anaongelea "kuanza" thats why tukaongelea wiki za mwanzo, pia kuhusu kufeel quickening inaweza kua subjective issue.. inawezekana zilikuepo mapema ila wewe hukufeel

Naijua vizuri sana, soma vizuri nilichoandika. Nimesema 22 wks for sure, hivyo by 22wks ina include the primes and the multi parous not so?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom