Recent content by Extroverted Introvert

  1. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui mpoje?

    Kama wewe utakavyoona uhitaji kuwa mteja wake, basi na yeye anakuhama pale atakapoona ahitaji kuwa mteja wako. Hizo sababu naona umechomekea kama wewe ambavyo ungeweza kusingiziwa sababu kama hizo pale utakapohama
  2. E

    JamiiForums Tanzania Toyota Vitz Vs Toyota Starlet-Ipi ina Nafasi Kubwa

    We jamaa huwa unajibu vile vile kama swali lilivyoulizwa. Umenyooka sana. Kuna mtu hapo juu kaanza kusema habari za mazda dah😀
  3. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Sasa hizo njia mbadala za marafiki, ndugu, mtu wa kukodi ilitakiwa aseme mwanamke baada ya jamaa kuomba siku 3. Sasa kitendo cha mwanamke kwenda moja kwa moja kuachana ndiyo kosa lilipotokea.
  4. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unatajisikiaje shemeji yako akimuita dada yako “demu” mbele yako

    Ni title of honor kwa huko British lilipotokea
  5. E

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Rio Ferdinand hapo Airport ya Dar, yamenipa maswali mengi kuliko majibu

    huyo mama mwenye mtoto sijaelewa kabisa hapo
  6. E

    JamiiForums Tanzania AJIRA

    Ajiriwa
  7. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dakika 20 za kishindo!..

    playlist ni nyimbo mbili tu, Hiyo ya "Nasinzia rmx" na "Perfect design ya Nyashinski". Hizo zingine majirani wasisikie moans, groans, murmurs, whisper
  8. E

    JamiiForums Tanzania Roho Mbaya na Wivu wa Majirani: Kisa cha mtoto aliyetambaa hadi ndani ya gari Arusha kitufundishe umuhimu wa CCTV

    Natamani hiyo video waonyeshwe hao majirani, alafu tusikilize watakana vipi maneno yao kwamba mtoto hawezi kuingia mwenyewe. Hasa hako kadada keupe ka "kunyakua"
  9. E

    JamiiForums Tanzania Hii Tuzo Waziri anahusika.

    Ipewe au isipewe haina maana yoyote. Ukilalamika haisaidii. Usipolalamika pia haisaidii. Yani kwa kifupi acha mambo yaende itakavyokua, wewe focus na issues zako na burudani utakayoipata.
  10. E

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwanini Mabasi 150 ya Mofat yaegeshwe tu, wakati Gerezani/Kivukoni kuna kilio cha usafiri nyakati za asubuhi jioni?

    Yawezekana Mofat kafanya hivyo ili apewe njia ya gongo la mboto kwa huruma bila ushindani wa kampuni nyingine.
  11. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wivu wa mapenzi wasababisha familia nzima ifukuzwe kutoka Uingereza

    Kapata faida gani sasa huyo Mwanaume zaidi ya kufurushwa kwenye nchi aliyoota ingemtoa kimaisha? Angetumia njiaza akili bila kuleta mushkeli na aibu ya kimataifa
  12. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wivu wa mapenzi wasababisha familia nzima ifukuzwe kutoka Uingereza

    Mbinafsi ni jamaa. Kwani hajui tabia za wanawake wa kiafrika za "short temper" na kufanya maamuzi bila kufikiria zipo kwenye DNA zao? Kwahiyo naye mwanaume imekula kwake
  13. E

    JamiiForums Tanzania Ikifikia hatua gani utajigundua kua wewe ni mraibu wa mitandao?

    Sawa, subiri nidondoshe chupa ya mwisho ya kimea
  14. E

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Hizo taasisi ndiyo zinanivuruga aisee. Perdiem yote hiyo wengine wanataabika na take-home ya kuchechemea
  15. E

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Raha yao police analipwa 400k pesa ya chakula kila mwezi, kwahiyo ukijumlisha hapo uliyoiona sio haba atadondokea kwenye 700k+. Na huyo ni form 4.
Back
Top Bottom