Recent content by Extroverted Introvert

  1. E

    KERO Sekretarieti ya Ajira, kuna maswali wakati wa Usaili hayana mantiki kabisa

    Sasa wewe mwalimu si utakuwa unaprint mitihani huko ofisini
  2. E

    Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

    Mbona sio jambo jipya. Watu wanakopa, wanalipa na wanaendelea kukopa. Labda kama wewe ni mgeni kwenye utumishi wa umma umekimbilia kukopa bila kujua. Sisi tunakushangaa wewe unayeona hilo ni jambo jipya. Watu wana top-up, wana-sell mikopo na maisha yanaenda. Kwahiyo huna haja ya kutumia nguvu...
  3. E

    Mume wa mtu kasomesha mdada hadi akamaliza shule. Dada kamaliza Chuo kashapata mtu wake anamkataa

    Pia hivyo hivyo mme wa mtu usipotulia na mkeo, ukiendelea kugharamia nje, basi jela zitakuandama. Pesa za kusomesha mchepuko mpe mkeo, wekeza akiba kwa watoto
  4. E

    Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Waache hao waathirika waamue wenyewe, hakuna haja ya kuwalazimisha. Ulaya wakiona wanaathirika, basi wataingia uwanjani kwa maamuzi yao na sio kwa maombi ya US. Pia juzi kati, Trump alijibu swali akisema anataka mataifa ya Ulaya wamuunge mkono kwasababu Iran inaua mashoga, hivyo Ulaya ikatetee...
  5. E

    Kwenu Wanaume, Mwanamke akikuletea Zawadi jua ni mtego, atachukua kwako mara 2 yake

    Kipi bora sasa? akuletee zawadi ya elfu 20 alafu akuombe elfu 40 au asilete zawadi yoyote na bado akuombe elfu 40?
  6. E

    Kijana, don't settle with your agemate

    Wanaume wa JF tumepagawa, kila mmoja an analeta wazo lake. Kuna uzi humu jamaa anashauri usimzidi mwanamke wako umri mkubwa sababu mwanaume ukishazeeka, huwezi kukata kiu ya mkeo hivyo unatengeneza mazingira ya kusalitiwa. Gap la miaka 15 (miaka 50 kwa 35). Hapo mwanaume unapiga kimoja...
  7. E

    Hatimaye Mwakinyo kuzichapa na Ibrahimu Class kukatana ngebe

    Huyo class kwanini asipigane na Twaha? Maana Twaha naye ni mtanzania
  8. E

    Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Kumbe gari ikiuzwa sana ni tatizo? Kama zingekuwa haziuzwi, hao wanaozitumia wangezipata wapi? Au gari gani wewe unaona haiuzwi sana, tukaitafute kwenye mitandao tusiione
  9. E

    FT: Far Rabat 1-0 Yanga SC | CAF Champions League | Olympique de Rabat | Februari 7, 2026

    Ukiangalia wachezaji mbona utaona formation ya Yanga. Ila, hiyo ndiyo safi Kocha asijulikane ili maadui washindwe kumkabili
Back
Top Bottom