Mbona sio jambo jipya. Watu wanakopa, wanalipa na wanaendelea kukopa. Labda kama wewe ni mgeni kwenye utumishi wa umma umekimbilia kukopa bila kujua.
Sisi tunakushangaa wewe unayeona hilo ni jambo jipya. Watu wana top-up, wana-sell mikopo na maisha yanaenda. Kwahiyo huna haja ya kutumia nguvu...
Pia hivyo hivyo mme wa mtu usipotulia na mkeo, ukiendelea kugharamia nje, basi jela zitakuandama. Pesa za kusomesha mchepuko mpe mkeo, wekeza akiba kwa watoto
Waache hao waathirika waamue wenyewe, hakuna haja ya kuwalazimisha. Ulaya wakiona wanaathirika, basi wataingia uwanjani kwa maamuzi yao na sio kwa maombi ya US.
Pia juzi kati, Trump alijibu swali akisema anataka mataifa ya Ulaya wamuunge mkono kwasababu Iran inaua mashoga, hivyo Ulaya ikatetee...
Wanaume wa JF tumepagawa, kila mmoja an analeta wazo lake.
Kuna uzi humu jamaa anashauri usimzidi mwanamke wako umri mkubwa sababu mwanaume ukishazeeka, huwezi kukata kiu ya mkeo hivyo unatengeneza mazingira ya kusalitiwa.
Gap la miaka 15 (miaka 50 kwa 35). Hapo mwanaume unapiga kimoja...
Kumbe gari ikiuzwa sana ni tatizo? Kama zingekuwa haziuzwi, hao wanaozitumia wangezipata wapi?
Au gari gani wewe unaona haiuzwi sana, tukaitafute kwenye mitandao tusiione
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.