Kama katumia elfu 50 pasipo na tija, maana yake wewe kwa wakati huo sio kipaumbele na anayo mahitaji ya msingi na sio kwamba huyo mtu ni habili.
Ubahili wa mtu unapimwa nyanja zote na sio kwa mpenzi, ndugu au rafiki. Wewe unaweza ukamwita bahili sababu akupi pesa, ila yeye akawa anajifanyia...
Ndiyo maana nimeonyesha kukubali uzuri wa hoja zako ulizoandika (soma sentensi ya kwanza). Ili hoja zako ziendelee kuwa nzuri na ziendelee kukubalika, hakutakiwi kuwepo kwa kiashiria chochote cha kuzifanya hoja zako ziwe ni tetesi.
Hoja ya PBPA ilikuwa nzuri sana ila neno piga ua limefanya...
Neno piga ua linachafua hoja zako nzuri za juu. Je dangote alilazimishwa kujenga huo mradi hapa Tanzania hadi akaamua piga ua.?
Aya ya mwisho, umeeleza wasiwasi wako kuhusu kulindwa kwa maslahi ya PBPA. Kama hizo tetesi ni kwa kweli, Dangote aliamuaje piga ua mradi ujengwe Kenya ili hali...
Kuna kipindi g/mboto pale traffic walikuwa wanatoa mikeka kwa magari ambayo hayafiki pugu station/mnadani. Hata huko akiwepo trafiki tu, daladala zitafika mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.