Recent content by Extroverted Introvert

  1. E

    Je ni kweli mwanaume anaejielewa lazima awe bahili? Toa maoni yako

    Kama katumia elfu 50 pasipo na tija, maana yake wewe kwa wakati huo sio kipaumbele na anayo mahitaji ya msingi na sio kwamba huyo mtu ni habili. Ubahili wa mtu unapimwa nyanja zote na sio kwa mpenzi, ndugu au rafiki. Wewe unaweza ukamwita bahili sababu akupi pesa, ila yeye akawa anajifanyia...
  2. E

    Kosa hili la kidiplomasia la Rais Samia ndio lilisababisha mpango wa Dangote wa Refinery ubadilishwe kutoka Tanga na kwenda Mombasa

    Ndiyo maana nimeonyesha kukubali uzuri wa hoja zako ulizoandika (soma sentensi ya kwanza). Ili hoja zako ziendelee kuwa nzuri na ziendelee kukubalika, hakutakiwi kuwepo kwa kiashiria chochote cha kuzifanya hoja zako ziwe ni tetesi. Hoja ya PBPA ilikuwa nzuri sana ila neno piga ua limefanya...
  3. E

    Kosa hili la kidiplomasia la Rais Samia ndio lilisababisha mpango wa Dangote wa Refinery ubadilishwe kutoka Tanga na kwenda Mombasa

    Neno piga ua linachafua hoja zako nzuri za juu. Je dangote alilazimishwa kujenga huo mradi hapa Tanzania hadi akaamua piga ua.? Aya ya mwisho, umeeleza wasiwasi wako kuhusu kulindwa kwa maslahi ya PBPA. Kama hizo tetesi ni kwa kweli, Dangote aliamuaje piga ua mradi ujengwe Kenya ili hali...
  4. E

    Kutolewa Ureno WC26, Mambo haya Matatu Yamewaponza

    Tupe sababu 3 pia na timu zingine kutolewa. Hizi za ureno ni kama za timu zote tu kwahiyo sio kitu kigeni
  5. E

    2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Mexico/England
  6. E

    Maandamano yameanza kufa kabla hata hayajaanza?

    Basi tuwapongeze kwa kufanya maamuzi yenye kuleta amani
  7. E

    Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Kwahiyo wanavyosema wanapenda pesa/kuhudumiwa, ni kinyume chake
  8. E

    KERO Daladala za Buza zinakatisha ruti kila siku, zinatushusha njiani; LATRA chukueni hatua

    Kuna kipindi g/mboto pale traffic walikuwa wanatoa mikeka kwa magari ambayo hayafiki pugu station/mnadani. Hata huko akiwepo trafiki tu, daladala zitafika mwisho.
  9. E

    Swali; Umewahi kufananishwa na mtu ambaye haufanani nae kabisa?

    Si ndo umejibiwa sasa. Umeambiwa tembea yako,, nywele zako, mwili wako, kimo chako na vitu vingine vinavyoonekana.
  10. E

    Kama mechi za mpira wa miguu zingekuwa zinamalizika dakika ya 85: Afrika ingefika mbali Kombe la Dunia 2026

    Kama mechi zingeisha dakika ya 85, hayo magoli ya comeback yangefunga dakika ya 80 au 81. Kwahiyo ngoma ingekuwa vile vile
Back
Top Bottom