Kama hawezi kumtaliki mke wake, kwanini anataka mchepuko atulie ili hali yeye kashindwa kutulia kwa mke wake?
Kama hajamchoka mke wake, basi na huyo mchepuko hajawachoka wanaume zake. Hakuna haja ya kulalamika
Albam: Naonewa sana (Post post boy)
Singer: Attention Seeker
Song No. 1: A final goodbye
Song No. 2: Ban siyo haki
Song No. 3: Sioni faida
Song No. 4: Najiweka kando
1. Huyo jamaa uliyenaye, alikukuta una mtoto wa mwanaume mwengine. Hivyo unahisi amekusaidia sana kuishi na wewe ndiyo maana unaona usaliti ni kawaida.
2. Umemkuta huyo jamaa ana mali zake ambazo wewe huna mchango nazo. Hivyo nguvu yako/jasho lako halipo hapo. Huwezi kuona uchungu ukisalitiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.