Recent content by Extroverted Introvert

  1. E

    JamiiForums Tanzania Mwanaume sio kila weekend Mitoko na masela/ washkaji, muda mwingine tulia na mkeo

    Ukiwa busy wewe ndiyo unahisi kika mmoja yuko busy mid of the week mpaka utupangia siku ya ku-have fun na wake zetu?
  2. E

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka Aondoka Rasmi ACT-Wazalendo

    Sasa hapa ulisema nini? Tumekuwa makini alafu?
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mwanaume sio kila weekend Mitoko na masela/ washkaji, muda mwingine tulia na mkeo

    Kwahiyo wewe ku-have fun na kupanga mipango na mke wako ni mpaka wikiend?
  4. E

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa sasa hivi mnazingua sana!

    Unatamani kuona ndevu za mwanaume mwenzako dah...!
  5. E

    JamiiForums Tanzania Hawa wahuni wamenipiga au ni real? Gari iingie Nchini 2013 mpaka leo iwe na km 150,000 tu. Inawezekana?

    Kwani hiyo odo inasoma kwasababu ya mwaka wa gari au umbali wa safari gari lilivyosafiri
  6. E

    JamiiForums Tanzania List ya wasanii wakali wa Muziki wa Muda wote Afrika

    Sasa utaweka ambao huwajui?
  7. E

    JamiiForums Tanzania Nyie wanawake wa siku hizi mnaojitafuta kwanza kabla ya ndoa nani atawaoa?

    Nenda kaoe ambao hawana malengo.
  8. E

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Nachoshangaa, ukwasi wa UTT unazidi kuongezeka kila mwaka, watu waanamiminika kupeleka pesa. Sasa hizi kampeni za hapa JF vipi haziwafikii watu au tunaandika kujifurahisha tu. Kwanini usiende pale posta ukaweka spika yako ukaanza kutoa elimu watu waache UTT?
  9. E

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Huyo kijana mwenye nguvu akiweka huko pesa, anakutegema wewe kwa chakula? Anakuja kwako kuomba mavazi na malazi?
  10. E

    JamiiForums Tanzania Mtu ana umaskini wa kutosha, familia inakula dagaa, mavazi ya mtumba lakini ànasomesha mtoto shule ya kulipia

    Wewe kipaumbele chako kula nyama, kusomesha serikalini. Mwenzako kipaumbele chake ni kula dagaa, kusomesha EM. Kwahiyo, ukimlaumu mwenzako kusomesha EM na kula dagaa, na sisi tutakulaumu kula nyama na kusomesha serikalini huko.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Messi amedhulumiwa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano

    Pole sana mwanetu
  12. E

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    Kwahiyo ukiwa unaongea na Mama yako, huwa unamuwazia hayo mawazo?
  13. E

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya wanawake wa siku hizi kupenda uke wenza inasababishwa na nini?

    Kwahiyo ukishampa mimba, ulitaka ajitambulishe vipi? Wewe ulimwaga ndani uone nini kama hutaki mke mdogo?
  14. E

    JamiiForums Tanzania Messi amedhulumiwa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano

    Kwani kuna shida kwenye kibarua chako?
Back
Top Bottom