Recent content by Extroverted Introvert

  1. E

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona kwa huyu boss wangu, sitahangaika kumridhisha mwanamke

    Kama hawezi kumtaliki mke wake, kwanini anataka mchepuko atulie ili hali yeye kashindwa kutulia kwa mke wake? Kama hajamchoka mke wake, basi na huyo mchepuko hajawachoka wanaume zake. Hakuna haja ya kulalamika
  2. E

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona kwa huyu boss wangu, sitahangaika kumridhisha mwanamke

    Kama huyo jamaa kaoa na karidhika, kwanini awe na demu nje? Na kama hiyo pisi ya nje anataka itulie, kwanini asigawe talaka kwa mkewe?
  3. E

    JamiiForums Tanzania Top 5 yangu ya Magari used ya Kijapan yanayotumia Mafuta kidogo na Reliable (Non Hybrid)!

    Soma post yake vizuri. Kasema kila kampuni ameweka gari moja japo kuna magari zaidi yenye sifa mfanano
  4. E

    JamiiForums Tanzania Tuaganeni rasmi sasa, najiweka kando na JF

    Albam: Naonewa sana (Post post boy) Singer: Attention Seeker Song No. 1: A final goodbye Song No. 2: Ban siyo haki Song No. 3: Sioni faida Song No. 4: Najiweka kando
  5. E

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

    Ukipewa like mbona hauleti malalamiko? Hizo dislike zinakuathiri nini? Zingekuwa hazitakiwi, JF ingeziondoa.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Mchanganyiko gani wa matunda unapenda juisi yake?

    https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganyiko-bora-wa-juisi-ya-matunda-ni-upi.1337282/?amp=1 Ingia humo. Zipo juisi zote unazotaka
  7. E

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Tukajua yupo kwenye sare. Hakuna askari hapo
  8. E

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Kislam akiwa eda anaruhusiwa kukumbatiwa hadharani?

    Huku vibinti vya halmashauri mbona hamuulizi kuhusu Eda? Au iliwekwa kwa Rais tu
  9. E

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Na yeye anakumbushwa hakuna tuzo kama vile yeye alivyokumbusha
  10. E

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Fanya maisha yako bro. Hakuna tuzo ya kujadili kodi za watu
  11. E

    JamiiForums Tanzania Kwanini homework za Wanafunzi zinafanywa na Wazazi? Punguzeni ujuaji

    Unalalamika sababu umekosa mtoto wa kumchapa
  12. E

    JamiiForums Tanzania Binafsi sioni faida ya kuwa humu.

    Albam: Naonewa sana (Post post boy) Singer: Attention Seeker Song No. 1: A final goodbye Song No. 2: Ban siyo haki Song No. 3: Sioni faida
  13. E

    JamiiForums Tanzania Ikitokea dada yangu na kaka yangu wamesalitiwa na wenza wao nitamuonea huruma zaidi kaka yangu kuliko dada

    1. Huyo jamaa uliyenaye, alikukuta una mtoto wa mwanaume mwengine. Hivyo unahisi amekusaidia sana kuishi na wewe ndiyo maana unaona usaliti ni kawaida. 2. Umemkuta huyo jamaa ana mali zake ambazo wewe huna mchango nazo. Hivyo nguvu yako/jasho lako halipo hapo. Huwezi kuona uchungu ukisalitiwa...
Back
Top Bottom