Kama wewe utakavyoona uhitaji kuwa mteja wake, basi na yeye anakuhama pale atakapoona ahitaji kuwa mteja wako. Hizo sababu naona umechomekea kama wewe ambavyo ungeweza kusingiziwa sababu kama hizo pale utakapohama
Sasa hizo njia mbadala za marafiki, ndugu, mtu wa kukodi ilitakiwa aseme mwanamke baada ya jamaa kuomba siku 3. Sasa kitendo cha mwanamke kwenda moja kwa moja kuachana ndiyo kosa lilipotokea.
Natamani hiyo video waonyeshwe hao majirani, alafu tusikilize watakana vipi maneno yao kwamba mtoto hawezi kuingia mwenyewe. Hasa hako kadada keupe ka "kunyakua"
Ipewe au isipewe haina maana yoyote. Ukilalamika haisaidii. Usipolalamika pia haisaidii. Yani kwa kifupi acha mambo yaende itakavyokua, wewe focus na issues zako na burudani utakayoipata.
Kapata faida gani sasa huyo Mwanaume zaidi ya kufurushwa kwenye nchi aliyoota ingemtoa kimaisha? Angetumia njiaza akili bila kuleta mushkeli na aibu ya kimataifa
Mbinafsi ni jamaa. Kwani hajui tabia za wanawake wa kiafrika za "short temper" na kufanya maamuzi bila kufikiria zipo kwenye DNA zao? Kwahiyo naye mwanaume imekula kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.