Recent content by Extroverted Introvert

  1. E

    JamiiForums Tanzania Yajue maeneo ambayo ni marufuku kupiga picha Dar es Salaam

    Ungeandika tu maeneo yenye ulinzi
  2. E

    JamiiForums Tanzania Maswali kibao kuhusu taarifa ya Joanah

    Umejipa umuhimu sana mzee. Hizo details wewe zinakusaidia nini?
  3. E

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Cha ajabu amenyanyua kwapa ila chama na gueye wapo wapo tu
  4. E

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Klabu za Tanzania zinaenda kumlipa mchezaji wa ndani milion $ signing fee, Muhindi kashikwa pabaya. hana budi kucheua mapene.

    Kwa vyote hivyo, je timu inaweza kurudisha pesa za usajiri karibia billion 7? Je brand yake inaweza kupelekea mauzo ya jezi kuongezeka? Je brand yake inaweza kuongeza makumpuni mbali mbali kudhamini timu husika? Je mchango wake kwenye timu ni upi? Tumeiona Simba ikishinda kombe bila fei...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza Klabu za Tanzania zinaenda kumlipa mchezaji wa ndani milion $ signing fee, Muhindi kashikwa pabaya. hana budi kucheua mapene.

    Fei hawezi kwenda popote. Hizo zote ni siasa tu za kuchangamsha dirisha la usajiri
  6. E

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    we askari mpya, andika shida yako ieleweke
  7. E

    JamiiForums Tanzania Tuweke ushabiki pembeni kati ya tamasha la Simba na Yanga lipi limekuwa tamasha bora kwako?

    Hivi jana pale ndiyo aliingia afisa TANAPA
  8. E

    JamiiForums Tanzania Baba wa Kambo acheni kuchapa watoto wadogo wa wake zenu mnajidhalilisha

    Kwani Baba yake mzazi hataki huo ubarikio?
  9. E

    JamiiForums Tanzania 🚨😱 𝗪𝗔𝗜𝗧… 𝗪𝗛𝗔𝗧?! 𝗥𝗘𝗗𝗠𝗜 𝗔𝗠𝗘𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗛𝗜𝗩𝗜?!👇

    Huo muundo wa camera za nyuma tu unanikera. Napenda sana simu zenye vertical-style camera.
  10. E

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanajeshi mstaafu afunga barabara ya mtaa akidai ni kiwanja chake

    Hiyo nafasi aliyoacha mbele iko wapi sasa?
  11. E

    JamiiForums Tanzania Kwanini mawakala wa kufanya mihamala ya simu wanachelewa kufungua ofisi?

    Kama wewe unavyosema sio wote wanafunga saa 6 usiku, basi hivyo hivyo sio wote wanachelewa kufungua asubuhi. Kila mmoja ana sababu yake ya kuchelea/kuwai kufunga na kuchelewa/kuwai kufungua
  12. E

    JamiiForums Tanzania Ugomvi wa marafiki ulioniacha mdomo wazi!

    Nimefikiria hiyo scenario huyo binti kufanya mapenzi na mwanaume asiyejitambua, kuna ile hali ya kinyaa imenipata. NIkawakumbuka wanaume wanaowapa mimba vichaa
  13. E

    JamiiForums Tanzania PETER SHALULILE rasmi ni mwananchi Yanga. Asante GSM kwa kuendelea kuonyesha upendo

    Umesema kila anayekuja ligi ya Tanzania ni kikaragosi, nimekupa mifano ya vikaragosi ambao walifanya vizuri.
  14. E

    JamiiForums Tanzania Oya abiria sogea upande wa pili! Kwenu Wana JF wa Kipato cha chini, mnaijua hiyo sehemu?

    Kani barabarani unapoendesha gari, upande wa kushoto ni upi? Maana wewe ukiita kushoto, mwenzako anayerudi anaita ni kulia. Hivyo ndivyo na daladala huwa. Upande wa pili ni ule konda anapoonyesha hasa ule ambao yeye yupo nao mbali. Kwahiyo ukiambiwa sogea, acha kujiuliza.
Back
Top Bottom