Nachoshangaa, ukwasi wa UTT unazidi kuongezeka kila mwaka, watu waanamiminika kupeleka pesa. Sasa hizi kampeni za hapa JF vipi haziwafikii watu au tunaandika kujifurahisha tu.
Kwanini usiende pale posta ukaweka spika yako ukaanza kutoa elimu watu waache UTT?
Wewe kipaumbele chako kula nyama, kusomesha serikalini. Mwenzako kipaumbele chake ni kula dagaa, kusomesha EM.
Kwahiyo, ukimlaumu mwenzako kusomesha EM na kula dagaa, na sisi tutakulaumu kula nyama na kusomesha serikalini huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.