Kwa vyote hivyo, je timu inaweza kurudisha pesa za usajiri karibia billion 7? Je brand yake inaweza kupelekea mauzo ya jezi kuongezeka? Je brand yake inaweza kuongeza makumpuni mbali mbali kudhamini timu husika? Je mchango wake kwenye timu ni upi? Tumeiona Simba ikishinda kombe bila fei...
Kama wewe unavyosema sio wote wanafunga saa 6 usiku, basi hivyo hivyo sio wote wanachelewa kufungua asubuhi. Kila mmoja ana sababu yake ya kuchelea/kuwai kufunga na kuchelewa/kuwai kufungua
Nimefikiria hiyo scenario huyo binti kufanya mapenzi na mwanaume asiyejitambua, kuna ile hali ya kinyaa imenipata. NIkawakumbuka wanaume wanaowapa mimba vichaa
Kani barabarani unapoendesha gari, upande wa kushoto ni upi? Maana wewe ukiita kushoto, mwenzako anayerudi anaita ni kulia. Hivyo ndivyo na daladala huwa. Upande wa pili ni ule konda anapoonyesha hasa ule ambao yeye yupo nao mbali. Kwahiyo ukiambiwa sogea, acha kujiuliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.