Ku trade kwa Tanzania nazani unaweza tumia hata Huobi Global na sio lazima uhamishe coins kwenda kwenye wallet, unaweza acha na kuhamisha only unapotaka ku withdrawal fund kwenda kwenye bank account yako, which unaweza tumia hata paypal sasa hivi kuhamisha cash . Nafanya trade ila sipo pande...
Mwendazake alifanikiwa kuwafanya watanzania kuhofia kuhusu chanjo na vita vya uchumi , kuwa wazungu wanataka kutuua na chanjo.
Wajinga ndio waliwao...[emoji1787][emoji1787]
Nenda kachanje wewe mdanganyika, chanjo kwa afya na usalama wako.
Kwa wanaohitaji kuanza maisha kwenye mazingira tofauti nafasi hiyo.
https://www.businessinsider.com/finland-relocation-remote-work-tech-90-day-finn-program-2020-12
Tofauti na upatu coin market ni strategy yako ya kusoma na kuchanganua market. Kama ilivyo traditional stock market tu. Upatu unapigwa straight forward.
Kama una bitcoins yes unaweza kuuza na ukakamata pesa yako mkononi. Mimi kwa ushauri tu kwa mtu ambaye unataka kumake money achana na bitcoin yenyewe tafuta coins zingine za kutrade zipo nyingi. Unaweza kuweka hela yako kwenye BTC leo na kesho ikashuka mpaka $17,000 kwahiyo utapoza pesa nyingi...
Umesema kitu kizuri sana lakini ku invest kwenye coin sio kwenye Bitcoin tu, zipo coins nyingi sana na baadae zinaweza kuwa na value kama bitcoin tu. Ie unaweza nunu 'V chain' coin sasa hivi kwa bei rahisi ila badae itakuwa juu sababu ya project yao. Naweka list za coins mtu anaweza nunua now...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.