Cryotocurrency is real!

Cryotocurrency is real!

Duh mzee hyo coast wataiweza maana duh gar sana
Wataweza ni Jay-Z na Mmiliki wa Twitter Mpwa, wanataka kuwekeza na to start with watatoa bitcoin 500 kwa Africa na India ili kuiewezesha Bitcoin kufahamkka.zaidi


Twitter CEO Jack Dorsey and rapper Jay-Z have announced a new Bitcoin fund that will focus on the cryptocurrency's adoption in India and Africa. The pair will invest 500 Bitcoin, which is currently worth around $24million (£17.3m), in the endowment fund named ₿trust.
 
Duh mzee hyo coast wataiweza maana duh gar sana
Twitter CEO Jack Dorsey and rapper Jay-Z have announced a new Bitcoin fund that will focus on the cryptocurrency's adoption in India and Africa. The pair will invest 500 Bitcoin, which is currently worth around $24million (£17.3m), in the endowment fund named ₿trust.
 
Wataweza ni Jay-Z na Mmiliki wa Twitter Mpwa, wanataka kuwekeza na to start with watatoa bitcoin 500 kwa Africa na India ili kuiewezesha Bitcoin kufahamkka.zaidi


Twitter CEO Jack Dorsey and rapper Jay-Z have announced a new Bitcoin fund that will focus on the cryptocurrency's adoption in India and Africa. The pair will invest 500 Bitcoin, which is currently worth around $24million (£17.3m), in the endowment fund named ₿trust.
Hapa btc lazima ipae Kama upepo
 
Huenda very soon mining ikaanza kufanyika Tanzania, tuombe Uzima kuna jamaa wawili wanataka kuwekeza humo
Kama unaweza kununua rig mining Tanzania unaweza fanya kwa kutumia wind au sollar power , ni nzuri sababu jua na wind zipo muda wote
 
Kama unaweza kununua rig mining Tanzania unaweza fanya kwa kutumia wind au sollar power , ni nzuri sababu jua na wind zipo muda wote
Hapa umegusia Mimi mgeni kabsa uwi nifahamishe hapa mkuu
 
Ku trade kwa Tanzania nazani unaweza tumia hata Huobi Global na sio lazima uhamishe coins kwenda kwenye wallet, unaweza acha na kuhamisha only unapotaka ku withdrawal fund kwenda kwenye bank account yako, which unaweza tumia hata paypal sasa hivi kuhamisha cash . Nafanya trade ila sipo pande hizo kwahiyo sijui changamoto zake.
 
Kuna mtu kashapiga faida ya ~40M within 2 months. Af kuna wapuuzi watakuja hapa kusema Bitcoins ni utapeli.
Binafs nilikuwaga naamin hvyo lakin baada yakufuatilia nikajua kumbe so utapeli ilimradi upate mtu sahihi wakukufahamisha
 
Bora ubet
Mkuu huu mchezo mmbaya sana nimebet Zaid ya miaka mitatu nilishawahi kuwin 9mil at once,lakin hyo pesa yote nilishaliwa Hadi nikaongeza na zangu trust me Bitcoin Ni dhahabu nilishawahi kuivest pesa kidgo Sana nikaja kupata pakubwa hii Ni Zaid ya beting
 
D

Dunia inaelekea kwenye fourth indurstrial revolution, bado hatujataka kukubali. Pata muda ndugu yangu tafuta taarifa sio lazima uwekeze What to know about e-Naira, Nigeria's Central Bank digital currency
Mkuu umekuja kwa wakat baadhi ya watu bado wanaamin btc Ni wizi ,,,,wengi wakuingia humu wakakosa watu sahihi wakuwaelewesha wakawaibia ndyo maana wanaamin hvyo Hadi but ukweli hakuna wiz otherwise uje utoke miaka ijayo Nina miaka Zaid ya minne Leo kwenye crypto
 
Swali langu kwako ni hili: Hivi karibuni kumetokea na wimbi la udukuzi katika baadhi ya wallet iliyopelekea watu wengi kupoteza kiasi kikubwa cha pesa. Kama utakuwa ni mfuatiliaji mzuri wa news, kuna vijana wadogo wawili wamepiga zaidi ya btc 69,000 kutoka kwenye wallet na kutokomea nazo huko South Africa, ukiachilia mbali na hilo, majuzi hapa huko Japan Zimepigwa takribani U$ 100M.

Je, wizi huu unaokuwa kwa kasi kutokana na mabadiliko ya kiteknojia kwa upande wa sarafu za mitandao, huoni kwamba inaleta uzito kwa baadhi ya watu kuwekeza muda na fedha katika biashara ambayo inaweza kuwaweka katika hasara kubwa ndani ya muda mfupi? Na kingine ni hatua gani zinazotakiwa kuchuliwa pindi mtu anapotaka ku-mine hizi cryptocurrency na kuzitunza katika wallet yake?

Nawasilisha
Kuna kipindi flan hv miaka ya nyuma kdg kulikua na wimbi la majambazi kuvamia mabenki na kuiba pesa, tokeo enzi hizo mpaka leo sijasikia watu kuacha kutumia huduma za kibenki wala kuacha kuweka fedha zao benki.
Somo : wizi kwny crypto world hauwezi kukoma na ni wizi like a in a yoyote tu ike ya wizi kikubwa ni hizi exchange kua na strong security systems kutoruhusu kudukuliwa.
 
Sasa unafikiri hawa wanaowekeza kwny cryptos hizo hela wanazitoa wap km sio huko unaposema "kwny uzalishaji mali?"
Dogo you still young to understand how serious things are. Jikite kwenye kazi vibaruani huko acha kulia lia.

Sauh'waaa!
 
Dogo you still young to understand how serious things are. Jikite kwenye kazi vibaruani huko acha kulia lia.

Sauh'waaa!
Digital world imekuja kubadilisha maana na namna tunavyofanya kazi, 'kibarua' km unavyokielewa kwny analogue ni tofauti na namna kinavyoeleweka kwny digital.
Tafuta maarifa mkuu, ni hayo tu!
 
Digital world imekuja kubadilisha maana na namna tunavyofanya kazi, 'kibarua' km unavyokielewa kwny analogue ni tofauti na namna kinavyoeleweka kwny digital.
Tafuta maarifa mkuu, ni hayo tu!
Mmezoea kukariri mambo mtadhani maisha ni orodha. Nadharia tuu. Kazi ni kipimo cha utu bwana mdogo. Life is not a bed of roses. Money is hard to get you must work very hard no easy way. Anzisha angalau kabustani hapo uwani kwa shemeji yako utatoka tuu. Its a matter of focus and determination.

Sauh'waaa!
 
Back
Top Bottom