Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,572
- 217,937
Lazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma.
Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua.
Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.
Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.
Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua.
Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.
Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.