Recent content by Existence

  1. Existence

    Ijue life path life yako

    Hizo master number mkuu sijaelewa, mimi imeangukia 11
  2. Existence

    Wamasai ni kweli Wana haki lakini na hao Wazungu waliofungiwa barabara Wana haki yao pia, yuko wapi Waziri wa Utalii?

    Inawezekana wamedai kwa namna nyingine hawajasikilizwa, siamini kama huu ndo mwanzo wa kudai haki zao
  3. Existence

    Matumizi ya mikopo

    Ili upate faida kupitia mkopo fanya yafuatayo 1. Uwe na biashara inayojiendesha kwa faida Mfn. Faida kwa mwezi ni 500,000/= baada ya matumizi ya ofisi. 2. Kopa mkopo ambao marejesho yake hayafiki 500,000 unayoipata kama faida baada ya kutoa matumizi ya ofisi kwa mwezi 3. Hakikisha fedha yote...
  4. Existence

    Mimi ni nani? Siri ya 2085

    Nilivoona neno Uingeleza tuu nikajua hii kamba
  5. Existence

    Kwa hawa watu wanaobadili dini, Ndugu na wanafamilia wa dini tofauti wajiandae kwa lipi kwenye mazishi yao?

    Dini nzuri kuliko zote ni hiyo ya kwako tuu plus kuacha matendo mabaya na kutenda matendo mema, naamini kwa mtazamo wangu utaiona pepo
  6. Existence

    Nataka kusoma Clinical Medicine. Je, hali ya ajira ikoje?

    Kabisa, advance ni mtego bora uende chuo
  7. Existence

    Natafuta kazi zinazoendana na taaluma yangu ya mifugo

    Animal health and production ndo madaktari wa mifugo??
  8. Existence

    Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

    Hii ni uongo bhna.... Riba ya mkopo wa 100M sio chini ya 20% kwa mwaka Ukinunua bonds faida sio zaidi ya 10% kwa mwaka Ni sawa na kuchota maji mtoni na kuweka baharini
  9. Existence

    Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

    Hatuwezi kufanana kamwe, kila mtu afanye yanayomuhusu...
  10. Existence

    Hizi wilaya zinazidi makao makuu ya mkoa

    Moshi ni kubwa kuliko Kilimanjaro[emoji848]
Back
Top Bottom