Ili upate faida kupitia mkopo fanya yafuatayo
1. Uwe na biashara inayojiendesha kwa faida
Mfn. Faida kwa mwezi ni 500,000/= baada ya matumizi ya ofisi.
2. Kopa mkopo ambao marejesho yake hayafiki 500,000 unayoipata kama faida baada ya kutoa matumizi ya ofisi kwa mwezi
3. Hakikisha fedha yote...
Hii ni uongo bhna....
Riba ya mkopo wa 100M sio chini ya 20% kwa mwaka
Ukinunua bonds faida sio zaidi ya 10% kwa mwaka
Ni sawa na kuchota maji mtoni na kuweka baharini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.