J.lee waambie mama 2navyoenjoy daily. Ukiniudhi nakupiga na kipande cha Almasi ya mwadui ukiugua nakubembeleza na mashishanga, ukideka nakupoza na dhahabu ya geita. Ndo mambo yetu hayo.
ha ha ha ha ha bora mkuu umenena kwani watu wenyewe wachache ukilinganisha na mikutano mingi ya kisiasa inayofanyika jijini Mwanza. ACT na mleta uzi mjipongeze kwa hatua hiyo na si kutuhadaa kuwa mmevunja ngome za vyama flan hapo jijini Mwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.