Balaa la mvua

Balaa la mvua

Poor drainage system! Dar es salaam ni kati ya miji ya hovyo kabisa duniani kwa mipango miji.Hii adha ya maji kutuama mara tu mvua kidogo inaponyesha haitaweza kuisha kwa mpangilio wa jiji hili ulivyo! Baada ya kuisha mradi wa mabasi yaendayo kasi, inabidi waanzishe na mradi wa boti ziendazo kasi kipindi cha mvua ili watu waweze kutoka na kuingia kwenye miji yao!

ni kweli kabisa, lkn hata majuu hutokea, na ikitokea kama ya majuu hapa itakua soo
 

Attachments

  • tmp_20140406_175346547805664.jpg
    tmp_20140406_175346547805664.jpg
    321.7 KB · Views: 138
  • tmp_20140406_1754351661606726.jpg
    tmp_20140406_1754351661606726.jpg
    319.2 KB · Views: 125
Inaweza isiwe ya hapa bali naomba wanajf wengine wenye picha za kinachoendelea sasa hapa nchini waziweke hapa. Hii ni jana hapo DSM kwa hisani ya gazeti la Mwananchi.View attachment 150089mafuriko Mfanyabiashara ndogondogo katika eneo la Tabata Relini jirani na ofisi za Mwananchi Communications Limited akiwa amekaa juu ya ukingo wa daraja baada ya eneo hilo kufurika maji kutokana na mvua iliyonyesha jana, Dar es Salaam. Picha na Edwin Mjwahuzi
Source


Najaribu kuisoma picha hii...huyu bwana amekuja kukaa hapo au maji yamemkutia hapo? Au ni mwenyeji wa nyumba za karibu na hapo? Manake kama ni mfanya biashara ndogo ndogo atakuwa anasubiri mteja yupi kwa hali hiyo?....

Mwisho wa siku bado tunalaumu mamlaka husika kwa kuacha watu wanajenga mpaka wanamaliza bila kuwazuia. Na bado nyumba nyingine zinawekewa mpaka na umeme, sasa sijui na vishoka au Tanesco wenyewe? Kwa ujenzi huu, matokeo yake nyumba zimejengwa kwenye njia/mikondo ya maji....sasa tutawezaje kuyakwepa mafuriko tunayojitengenezea wenyewe?
 
huyu kijana aliyekaa juu ya daraja anafanana na rafiki yetu wa huko kigoma aitwae D.Edwin.
 
usipate taabu ndio mm wa Kigoma kwetu
 
Inaweza isiwe ya hapa bali naomba wanajf wengine wenye picha za kinachoendelea sasa hapa nchini waziweke hapa. Hii ni jana hapo DSM kwa hisani ya gazeti la Mwananchi.View attachment 150089mafuriko Mfanyabiashara ndogondogo katika eneo la Tabata Relini jirani na ofisi za Mwananchi Communications Limited akiwa amekaa juu ya ukingo wa daraja baada ya eneo hilo kufurika maji kutokana na mvua iliyonyesha jana, Dar es Salaam. Picha na Edwin Mjwahuzi
Source

life is Short njoo ona hukuuuu....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom