MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

Mkuu me hua sipendi kusumbuana na hawa bongo fuleva natumia bastola tu. Nina bastola iko kabatini imepiga 4 shots mpaka sasa

kwa hiyo professor Window7, unataka kuniambia kwamba Exceptional kwako ni kama sisimizi?
Exceptional unasemaje kuhusu hii tuhuma ya kutishiwa bastola?
 
Last edited by a moderator:
Hana lolote hizo ni ndoto Window7 hata mshale haujui bastola anazoota akiangalia movie ndo zakunitishia? Nasikia anamnanga mango g arudi njia kuu

what? kumbe Window7 anawinda akiwa usingizini? anaua analeta nyumbani wanalia usingizini mr except?

hebu niambie kwa sasa J.lee mnaishije nae, hamuongei ongei kijana window?
 
Last edited by a moderator:
mh!unajua kujitetea ka Yanga vile mbele ya waarabu.

Nilikuambia huyo bongo fuleva atakupotezea time bure hana lolote. Wkend ijayo nitakupeleka pale Rose Garden ukatulize kichwa kidogo naona hauko sawa.
 
Window7 kulaleki nakuona uko jukwaa la wakubwa!! bisha nichome utambi kulaleki!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom