Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
mmmhhh!!!
Unaguna nini??
mmmhhh!!!
hahahahahaaaa huna adabu wewe ishia hapo hapo ndo nini unanianika hivo heheheheeee watu8 ingia chemba tafadhali upenuni hapa ujue, watu macho kodo.
Usije fanya leo bajaji jioni zikawa za shida maana nahisi watu watajaa leo heheheeeeee au leo nitembee kwa miguu maana mvua hamna naona jua linawaka vizuri tuu heheheeee
sasa atakuwa anakosea, yaani crash yote hii aniangalie tuu aaah basi itakuwa sio rizki na mipango ya maulana, ila kama ni mipango ya maulana atanitext tuu, thanks for alert by the way au ni wewe nini.....???? mmmhhh ila kama ni wewe....... hayaa poa
Hahahah...miye chemba siji ng'ooo
Leo itabidi kufanya matembezi ya hisani kwani itasaidia pia kuupa mwili mazoezi...
ok haina majotroo be blessed and stay well, thanks anyways for ur words
nani akamsubirie nani namanga? sio kuguna tuu nilikuwa sijaelewa ulichomaanisha
basi kama hutaki kwenda chemba uache uchokozi karibu na kweli, ngoja ifike saa kumi na moja ndo niamue kama ntapanda bajaji au nitembee, maana hata leo sina gari
love is blind..
lovers have eyes..
love is blind..
lovers have eyes..
ok haina majotroo be blessed and stay well, thanks anyways for ur words
Hahaha kwa kumalizia uchokozi wangu basi utanikuta nami nasubiri bajaj kwa yule muuza matunda...