Kwa hakika hakuna! Chama kipo kwenye mabadiliko makubwa (Reformation), pia kipo kwenye Mpito (Transition), wenye thamani watakuwa kizazi kipya sio wakongwe! Kazi Kwenu Wana-CCM, mlizoea kujifanyia mambo mtakavyo, sasa kaja mwenyewe, tulifunga na kuomba apatikane kiongozi atakayekomesha kiburi...