Bodi mpya ya Wadhamini ya CUF yasajiliwa rasmi RITA

ndo maana lipumba analalamika kuwa akaunt zote mtaalam Maalim Seif kazilock no salalio! njaa kal sana mtaalam wa uchumi!
 
Chama cha Wananchi-CUF Kimesajili bodi mpya ya Wadhamini ili kukidhi matakwa ya Katiba ya chama hicho.Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma wa CUF Bw.Bimani.Bodi hiyo imesajiliwa RITA na inatambuliwa na Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad.Bodi hiyo ndio msimamizi Mkuu wa Mali za CUF.
SOURCE.Gazeti la Mtanzania.
My Note.

Kama Maalim ana uwezo wa kusajili Bodi ya Wadhamini ina maana Profesa lipumba hana ushawishi wowote CUF.
 
17626327_398062810578732_1858752997410752817_n.jpg




MUNGIKI WACHANGANYIKIWA BAADA YA KUPIGWA "TECHNICAL KNOCK OUT"

Pichani Mungiki baada ya kurudi toka RITA na kuambiwa Bodi ya Wadhamini ya CUF tayari ishasajiliwa na kwamba Chama hakiwezi kuwa na Bodi mbili.

Matumaini ya maisha yamewaondokea na wengine wamesikika wakisema kuwa Lipumba kafanya kosa kubwa sana la kukusanya watu wasio wajumbe wa Baraza Kuu na kuwafanya kuwa Wajumbe.

Wakili Mashaka Ngole kawaingiza Chaka kwa kuuza Ramani ya vita.

CUF NI TAASISI IMARA YENYE VIONGOZI MAKINI WENYE AKILI KUBWA ZAIDI

HAKI SAWA KWA WOTE.......

ALUTA CONTINUE .......
 
Ndiyo hii mungiki,maana huku Kenya hili ni kundi hatari sana na haramu,kumbe na huko kwenu lipo,mmekwisha
 
BAMBA TO BAMBA

Hii ni Zaidi ya Bodi mpya

BODI HALALI YA CUF YAPOKEWA MAOMBI KWA RISITI NA 14995179 BAADA KULIPIWA NMB BANK
Baada ya Kikao cha Baraza Kuu kufanya Uteuzi wa Wajumbe wa Bodi hapo Jana, na Bodi yenyewe kufanya Kikao chake cha Kuchagua Viongozi wake, leo Viongozi wa Bodi hiyo wamefikisha Maombi ya kutambuliwa na kupatiwa Cheti cha usajili wa Bodi halali ya Cuf Chama Cha Wananchi.

Kwa hivyo kile kinachoelezwa na wenzetu ni muendelezo ule wa Drip za kujipa Matumaini yale yale. Ni Kawaida yao, Maneno kama bado masaa machache, itakua Tarehe 25 mara andaeni suti, ni Maneno ya Kawaida tu. Leo wamekuja na Kauli nyingine eti BODI MPYA YA CUF YAPATA USAJILI.

Sisi tumepeleka Bodi hali sio Bodi mpya tu.

Wanachama endeleeni kufanya shughuli za Chama achaneni na marafiki wa Wauza Unga.
 
BAMBA TO BAMBA

Hii ni Zaidi ya Bodi mpya

BODI HALALI YA CUF YAPOKEWA MAOMBI KWA RISITI NA 14995179 BAADA KULIPIWA NMB BANK
Baada ya Kikao cha Baraza Kuu kufanya Uteuzi wa Wajumbe wa Bodi hapo Jana, na Bodi yenyewe kufanya Kikao chake cha Kuchagua Viongozi wake, leo Viongozi wa Bodi hiyo wamefikisha Maombi ya kutambuliwa na kupatiwa Cheti cha usajili wa Bodi halali ya Cuf Chama Cha Wananchi.

Kwa hivyo kile kinachoelezwa na wenzetu ni muendelezo ule wa Drip za kujipa Matumaini yale yale. Ni Kawaida yao, Maneno kama bado masaa machache, itakua Tarehe 25 mara andaeni suti, ni Maneno ya Kawaida tu. Leo wamekuja na Kauli nyingine eti BODI MPYA YA CUF YAPATA USAJILI.

Sisi tumepeleka Bodi hali sio Bodi mpya tu.

Wanachama endeleeni kufanya shughuli za Chama achaneni na marafiki wa Wauza Unga.
 
Wale waliofanya njama za Bwana Yule akihujumu CUF naona wataathirika muda sio mrefu kwani kuna kila dalili kwamba hakuna support kutoka kwa MKUU na si ajabu tukasikia baadhi yao wamewajibishwa. Awamu hii imeonyesha hakuna tena cha huyu ni Mwenzetu! Tafakari....
 
Ni bodi ya chama si ya ccm c..CUF ni taasisi imara na tutailinda kwa gharama yoyote dhidi ya vibaraka.Chini ya kiongozi mzalendo Maalim Seif hatimae tutavuka.
 
Nachukua nafasi hii kumkumbusha Lipumba kwamba mbinu zake za kishamba zimegonga mwamba .
 
Back
Top Bottom