Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,614
Unataka ahamie mara ngapi?Sasa lipumba ahamie ccm tu maana hana ujanja
Unataka ahamie mara ngapi?Sasa lipumba ahamie ccm tu maana hana ujanja
Ndio inayoshinda kila uchaguzi unapofanyika Zanzibar.CUF ndo nini?
Ushauri wa bure lipumba uza jengo!
yeye pia anao wadhamini wa mrima subiri hii ni muvi!Wadhamini hawatamwacha.Pale alipo wanamchukulia kama Mvamizi anayelindwa.
Kuna uwezekano mkubwa wa Lipumba kuweka zuio tusubiri tuoneLipumba Kwisha habari yake.
Ni bodi ya chama si ya ccm c..CUF ni taasisi imara na tutailinda kwa gharama yoyote dhidi ya vibaraka.Chini ya kiongozi mzalendo Maalim Seif hatimae tutavuka.
Kuna uwezekano mkubwa wa Lipumba kuweka zuio tusubiri tuone