mkuu ukiwaza hizi ajira za serikali utapasuka kichwa, think outside the box ujipatie kipato ili mradi iwe halali hata ya kuvuja jasho. wataajiri tu soon mana wahanga wa ajira wapo wengi sana na huyu jamaa hajaajiri bado hata watumishi wanalia nyongeza ya mshahara toka july mpaka leo. mi nikupe...
sio wewe tu, wengine wamewekwa bench kila siku wanapigwa danadana ya ajira kuwa wataajiriwa, toka 2015 walimu hawa wapo mtaani wengine. wengine tunatamani kuwatukana hawa viongozi humu lakini wametutungia sheria ya kutufunga, inaumiza sana type ya viongozi tulionao mungu atawalipa hapahapa duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.