Waziri siyo kilaza ispokuwa uelewa wako deni la taifa linapokuwa tunatazama ni kitu gani kimesababisha je ni investment au ni matumizi ya kawaida. Deni letu linakuwa kwa sababu tunajenga miundombinu kuelekea uchumi wa kati
Nchi hii tumekuwa ni watu wa kutokuona jema kwa yanayofanywa na serikali. Kwanza nimpongeze waziri kwa kuja na mchanganua wa matumizi na mapato kwa kipindi hiki cha July - November ameonyesha tumepataje na tumetumiaje. Hatuwezi kushabikia kwa kutaka kupata mikopo au misaada yenye mashariti...
Mkuu wa chuo kikuu siyo mtaalamu wala mtoa maamuzi kwa maendeleo ya chuo bali celemonior chance tu, VC/ Makamu mkuu wa chuo ndiyo mtendaji na mwendeshaji mkuu wa shughuli zote za chuo.
Mwigulu fanya kazi yako kwa weredi hakuna haja ya kuwasikiliza hawa wapiga kelele kila kitu wanapinga. Sisi tuko nyuma yako kama watanzania tunaohitaji kuona mipango yote ya serikali inatekelezeka kwa kiwango cha juu.
Ukiishi kwa kupinga kila kitu ipo siku utajikuta unapinga hata unapoishi kuwa siyo kwako. Hivi kuwa opposition lengo ni kutaka maendeleo au kupinga maendeleo yanayofanywa na serikali iliyoko madarakani? Je kuna ubaya gani serikali iliyoko madarakani kutekereza ahadi zake ilizozitoa kwa wanachi...
100% Nakubali kuwa Rais wetu anatekeleza alichoahidi kwa wananchi. Mpaka sasa kafanya mambo makubwa ukilinganisha na kipindi alichokaa madarakani. Hatuwezi wote tukawa na fikra sawa wale wanaosema hawakubaliani waje na hoja zinazoonyesha kuwa hawajaona chochote siyo kubisha tu
Asiye ona alichofanya Rais wetu ,ana lake jambo kwa sababu ndani ya kipindi kifupi makuasnyo ya kodi yamepanda kutoka bilioni 900 mpaka 1.3 trioni. Ujenzi wa barabara ya mwngenge- moroko, kufanikisha kuongeza pesa za kutosha bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu,kuweka pesa za mwaka mzima...
Hatuna muda wa kupoteza sasa ni wakati wa kufanya kazi tu, hakuna cha visasi wala kuonewa kama ulikwepa kulipa kodi,ulichukua eneo la wazi,ulishindwa kuendeleza eneo ulilobinafusishwa lazima tukutafute mpaka onyooke. Hapa kazi tu.
Leo Rais wetu alikuwa ofisini kwake anapiga mzigo hana muda wa kupoteza.Kawaapisha makatibu wakuu na manaibu wake then akaendelea na ratiba yake ya kuchambua CV za wakuu wa wilaya na mikoa.Ongera sana Rais wetu tupo pamoja HAPA KAZI TU
Rais wetu anachokifanya ni kutengeneza mfumo mpya wa uwajibikaji wa serikali kwa wananchi. Ili aweze kutekereza ahadi alizotoa ni lazima awe na mfumo wajibikaji wenye kuleta tija kwa taifa. Hapa hakuna shida juu ya wingi wa makatibu wakuu 29 na naibu 21 bali ujenzi mpya wa nchi .
Utaratibu wa kuwapata wenyeviti wa kamati upo vipi wanachaguliwa na wabunge au ofisi ya spika ndiyo inayoteua. Nafahamu kamati za PAC na ile ya serikali za mitaa lazima ziongozwe na wenyeviti kutoka upinzani ,je !wanapatikana vipi?
Tatizo huyu dogo anadhani JPM anafurahia huu upuuzi wake.Kwa nini asijifunze kesi ambazo mara tu baada ya JPM kuingia madarakani serikali imeshindwa mahakamani ni kwa sababu gani. Rais hataki uonezi wowote sasa huyu DC lazima aliwe kichwa maana uwezo wake ni mudogo sana kufikiria ni wakati gani...
Naomba nikuulize swali Je! Halimashauri ya Moshi, Karatu ,Hai zilikuwa zinaongozwa na chama gani na je ufanisi wake ni upi kwa kipindi cha miaaka mitano iliyopita?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.