Nahisi sio sawa kusema Wakristo, kwani kila mtu bila kujalisha dini yake anaweza kupatwa na lolote, na isitoshe walionyuma ya yote hayo ni wakristo,.Kikubwa ni kusema watanzania kwa pamoja, kwani kuanza kutetea mtu kwa kujinasibisha na dini ni mbaya zaidi. Tuache mambo ya udini bali tupange...