Kosa moja halifanyi mawili kuwa sawa kwa busara na hekima Wema hakutakiwa kuyaongelea chochote kuhusu Kajala, na msamaha na kurudi kama zamani ni vitu viwili tofauti anaweza kumsamehe na kila mtu akaendelea na maisha yake kwa kifupi mambo mengine aliyokuwa anaongea Wema jana hayana point
Kwnn asingemuomba msamaha kwa kumface anamuogopa ama? ??? Msamaha wa kutoka rohoni angemfata ndio ungekuwa na nguvu inst ni kutaka kujionyesha na kujitilisha huruma kwenye mitandao tangu lini mtu akaomba msamaha kwa msg.
Ni kweli halafu wamepambanisha anayependwa sio anayeimba sana au mwenye nyimbo nzuri hapo ni mambo mawili tofauti. Na Diamond amepoteza mashabiki wengi alivyomuacha Wema
Jibu watakuwa nalo wenyewe. Mi nadhani Wema alichelewa kujitambua alilewa umaarufu akijua kwamba wanaume wengi wanammendea kumbe wanasafisha nyota tuuu ila sasa hivi anaonekana kichwa inatulia
Amejitahidi lkn ni tution ya Wema sio Zali hata hicho kiingereza alichomtongozea zali ni tution ya Wema, Wema kamtoa mbali huyu jamaa halafu matunda wanakula wengine lol!
Kweli kabisa juhudi zake ndio zingemfikisha mbali mbona wenzake walioshiriki wanaendelea. BSS si pakutokea tu then unaendeleza juhudi mwenyewe yy atakuwa alikuwa anashindania gari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.