Audio: BBC wafanya Interview na Diamond kwa kiingereza

Audio: BBC wafanya Interview na Diamond kwa kiingereza

kijana kajitahidi sana, biiiiig improvement yaani
hapa ndio kijana huyu anapowaacha wengi nyuma kiukweli anaonekana ni mtu wa juhudi sana...,watu wa levo ya maisha aliyopitia awali na elimu aliyonayo na alipoipatia (Tandale) hawawezi hata dkk kuongea ktk interview na mzungu kwa levo ile

BiG uP DaI ...,, I can see u there .... the sky is your limit kijana!
Go Go Go...

Kwa kweli nami nampongeza saaana diamond aliongea vizuri sana. Vijana ni muhimu kujifunza kuwa bidii inalipa maana kuhusu kiingereza Diamond anafanya jitihada za makusudi kujifunza. It is never late, vijana hata nasi watu wazima tujitahidi kujifunza tusikate tamaa eti muda umetutupa. Baadhi ya watu wanamsema Nuhu lakini mwishoni tutamuona anavyo-improve. Tena Diamond alikuwa muwazi na kusema anafundishwa kiingereza na Wema. Alijitambua na kuona mapungufu yake na kuyafanyia kazi. Big up Diamond!
 
Kijana anakua kila sehemu, ki-elimu, kiuchumi, ki-mziki, inabidi tukubaliane Diamondi ana Degree ya Muziki grade GPA 4.0
 
Yaan wabongo kweli nyuma yaani like serious tunajadili mtu alivyoongea kiingereza as if kuongeq tu english ni rocket science

Mawazo yako ni hafifu, jf pekee ina registered member zaidi ya laki moja. Kwa hizi post 40 zinazompa hongera kwa juhudi zake wewe umekuja kukusanya wabongo wote kuwa wapo NYUMA? Labda kama ni nyuma yako.
 
Mawazo yako ni hafifu, jf pekee ina registered member zaidi ya laki moja. Kwa hizi post 40 zinazompa hongera kwa juhudi zake wewe umekuja kukusanya wabongo wote kuwa wapo NYUMA? Labda kama ni nyuma yako.

Nielewe vzuri

Sipondi juhud za Diamond na mafanikio yake, ila nachoona hakipo sawa ni watu kushikilia suala la english ya Diamond kama success story

Am sure hata yeye hatapenda kuona et anasifiwa kwa kuongea koongereza vizur, yaan level hiz ni za kusifiana english, tena kwa coment zaid ya 40?? ndo unyuma wenyewe huu.

Ni sawa na kumsifia mwanafunz wa Chuo kikuu kwamba anajua kusoma na kuandika, Diamond tayar ni mwanamziki wa Kimataifa so kujaza server za Jf et tunasifia alivyoongea kingereza as if kuongea kiingereza kunahitaj technolojia ya ajabu ni kumshushia hadhi
 
Kwa kweli nami nampongeza saaana diamond aliongea vizuri sana. Vijana ni muhimu kujifunza kuwa bidii inalipa maana kuhusu kiingereza Diamond anafanya jitihada za makusudi kujifunza. It is never late, vijana hata nasi watu wazima tujitahidi kujifunza tusikate tamaa eti muda umetutupa. Baadhi ya watu wanamsema Nuhu lakini mwishoni tutamuona anavyo-improve. Tena Diamond alikuwa muwazi na kusema anafundishwa kiingereza na Wema. Alijitambua na kuona mapungufu yake na kuyafanyia kazi. Big up Diamond!

Sio wema alisema kwenye interview kuwa Penny ndio kamfundisha.

Wema hakutajwa kabisa kumsaifia kiingereza

So ni Penny alijitahidi na hata kumshauri apate mtu awe anamfundisha. Wema yeye udaku ndio aliweka katika uhusiano wao no kitu cha maendeleo kabisa


Ila Zari ndio kafanya makubwa na anavyoongea hadi raha.
 
Hv hawa BBC hawajui kuwa Alikiba ndiyo King ?? Mbona wanapenda kuingilia affairs za nchi nyingine ?

Yaan wabongo kweli nyuma yaani like serious tunajadili mtu alivyoongea kiingereza as if kuongeq tu english ni rocket science

Inakuuma nini si umsukie king wako huyo ulimtaja aende kwenye interview, kwani kafungwa kamba?

Ndio tunamuongelea na bado, ni mfano wa kuigwa kwa wengi.

TZ ina wabongo ulaya shuti kukalia kiswahili hadi majumbani leo baada ya miaka hawawezi kuongea kama D.

Na D ndio mfano mzuri kwa wanaotaka kujua lugha ya kiingereza penda usipende alipotoka tunajua na alikuwaje miaka iliyopita.

Nasema hongera D sana sana.
 
Sio wema alisema kwenye interview kuwa Penny ndio kamfundisha.

Wema hakutajwa kabisa kumsaifia kiingereza

So ni Penny alijitahidi na hata kumshauri apate mtu awe anamfundisha. Wema yeye udaku ndio aliweka katika uhusiano wao no kitu cha maendeleo kabisa
Mimi mfuatiliaji mzuri sana wa interviews za Diamond ndio kabisa. Hivyo niliona na kusikia kwa masikio yangu. Nadhani licha ya hao naamini amejifunza kutoka sehemu mbalimbali. yeye mwenyewe aliwahi kusema kuna wakati alifanya kibarua sehemu ya pato lake alogharamia mafunzo ya kiingereza.
Bottom line ni kuwa au hoja yangu kubwa ya msingi ni kuwa Diamond ana vision, bidii na yuko focused anajua anachokifanya. Vijana waige mfano wake kwani bidii haimtupi mtu!
 
kajitahidi kweli, hata sikutegemea

tution ya zari matunda yake yanaonekana sasa

Amejitahidi lkn ni tution ya Wema sio Zali hata hicho kiingereza alichomtongozea zali ni tution ya Wema, Wema kamtoa mbali huyu jamaa halafu matunda wanakula wengine lol!
 
Amejitahidi lkn ni tution ya Wema sio Zali hata hicho kiingereza alichomtongozea zali ni tution ya Wema, Wema kamtoa mbali huyu jamaa halafu matunda wanakula wengine lol!

Mkuu si wema ndo alimtema?
 
Ali k cjawai kumsikia akivunja yai kama king mond,mwenye audio ya ali k akivunja yai tuwekeeni jamaa tusikie. Then tulinganishe.

Almasi Chiboko, upo juu dogo, baki huko huko uskubali kushuka chini tena!!!??
 
Mkuu si wema ndo alimtema?

Jibu watakuwa nalo wenyewe. Mi nadhani Wema alichelewa kujitambua alilewa umaarufu akijua kwamba wanaume wengi wanammendea kumbe wanasafisha nyota tuuu ila sasa hivi anaonekana kichwa inatulia
 
nataka siku moja nipate audio ya nuh mziwanda nae akihojiwa pande hizo za bbc..
 
Sio wema alisema kwenye interview kuwa Penny ndio kamfundisha.

Wema hakutajwa kabisa kumsaifia kiingereza

So ni Penny alijitahidi na hata kumshauri apate mtu awe anamfundisha. Wema yeye udaku ndio aliweka katika uhusiano wao no kitu cha maendeleo kabisa


Ila Zari ndio kafanya makubwa na anavyoongea hadi raha.

Tumchukie Wema lkn Penye pongezi zake tumpe. Nilimsikia Chibu akihojiwa na XXL, kuhusu yai", nafikiri ni baada ya kutoka bigbrother ... alijibu ni "Wema Sepetu English Course. Na nafikiri kwa wakati huo hawakuwa pamoja na wema, ikawa kama ni news flani vile. Mpaka clousd wakaanza kumsifia Wema kwa kuwatrain Kanumba, then Diamond
 
Back
Top Bottom