miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Umenifanya nionekane chizi ofcn kwa kicheko!
Pole mkuu
Umenifanya nionekane chizi ofcn kwa kicheko!
Anaweka mdomo umbo la O hii ni kwa mademu,anaendesha huku akiwa amebinua kiuno na papuchi
ZIFUTAZO NI DALILI ZA MTU AMBAYE
ANAENDESHA GARI YA KUAZIMA (SIO YAKE)
1 Anaendesha kwa speed misele misele
kibaoooo.
2 Anashika stelingi na mkono mmoja
mwingine nje ya mlango
3 Kumsalimia kila anayepishana naye hata
kama hamjuii
4 Kwenda na gari kwenye harusi halafu
anaipark vibaya ili atangazwe(mwenye gari
namba â¦..akatoe gari yake)
5 Kutoa kichwa hadi kifua nje wakati wa
kurud nyuma wakati side mirrors zipo
6 â¦â¦â¦â¦â¦.. 7â¦â¦â¦â¦â¦â¦ 8â¦â¦â¦â¦â¦â¦
9â¦â¦â¦â¦â¦â¦ NA WEWE JAZILIZIA ZINGINE