Ngoja aje hawara wa Ali muone balaa,,,,#nifah
Utafikiri yy ndio mtz wa kwanza kuimba na p2
Yule ninja wa kuruka ukuta atakonda safari hi atavunja matikiti coz nazi zimepanda bei!
Jinsi mnavyoshikia bango iyo collabo utafikiri dai ndio wa kwanza kuimba na p2 ,itibie iyo roho mbaya ikutoke basi
Huyo ndio Nassib bwanah!hutaki unaacha!!!watakunywa mwarobaini mpaka watapike asali ahahaahahaaaaa!!
Halafu wangejua wangekaa tu kimya wakampuuza lakini hivi wanavyojifanya kuungana na makundi yao ya kinafiki ndio wanazidi kumpandisha hasira kwenye kichwa chake!!anawarushia makombora barabara na yanawatandika vizuri sana!
Ile ndio Icon ya TZ banahNampenda kufaaaaa na sitobadili msimamo milele.l
hahaaaaaaaaaaaaaaaa unanikoshaaaaaaaaaaa
Kwani uongo mtz gani aliyeimba na psquare
ni Ay Do Me Rmx Then Wakachia Freez Mpka VdeoKwani uongo mtz gani aliyeimba na psquare