Hizi ni mentality mbaya za kishamba. Hebu angalia wafanyabiasha wakubwa jinsi wanavyofanya na wanazidi kukua kila siku. Mo wanacopy almost bidhaa zote za azam lakini sijawahi kusikia azam wakilalamika! Jambo wanazalisha exactly bidhaa wanazozalisha Azam na bado wanatumia Azam TV kutangaza...
Ni kawaida kabisa hasa kwa mabinti wenye miili mikubwa, binti yangu alivunja ungo akiwa na miaka 11 darasa la tano. Huu ndo muda wa kuongea nae kweli kweli tena kwa kutumia mafundisho ya dini. Kama ni mkristo mwambie mwili wake ni hekaalu la Roho Mtakatifu. Pia tumia maandiko kutoka 1Wakorinto...
Haya magazeti yalinijenga sana psychologically ingawa nilikua primary. Story 2 sitakaa nizisahau, moja ya yule kijana aliepoteza wazazi wake kwenye ajali yy akapona ila akabaki na alama usoni... Nyingine kijana ambae kila anachokiwaza kinatokea mf alikua anamchukia mdogo wake maana alipendwa...
This is so true. Mama angu alimwa sana ugonjwa usiojulikana yan kila mtu alijua anakufa tulihangaika hospitali lakini wapi akaanza kuwa kama anapagawa na mapepo au anachanganyikiwa hivi. Sasa akaja mchungaji kumuombea aakamuombea sana na badae akafanya maombi nyumba mzima. Pale home kulikua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.