Nimechoka sana na maisha

Nimechoka sana na maisha

Pole sana aisee, je umesha jindaa na maisha mapya ya huko mbinguni ?
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Muelezee Bwana Yesu shida zako ...

“28 Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.29 Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;30 kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi” Mathayo 11..

Bwana YESU atakupa pumziko la Kweli. Mueleze shida zako zote. Yeye ni mfalme wa amani, atakupa AMANI YA KWELI.. Make him your friend!
 
lazima utakuwa muhitimu Wewe najua wakati mgumu kwa wahitimu wengi hasa msio na connection mnaopitia faraja na iwe kwenu
 
Wakuu mnakumbuka uzi wangu ulioleta mtafaruku kufuata Tukio la Mr Handsome ikapelekea uzi kufutwa sasa huu ndiyo sterling ameamua kujiweka wazi na as long as amongea point kuu mbili mahusiano na mshahara nimuendelezo Acha nisome nitarudi na mrejesho. Narudia mnakumbuka yule mama aliyelazwa hospital kwa attempt ya kujiua
mkuu tupe kidogo hiyo ya mr Handsome...tuunge dots!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My dear, haijalishi ulifanya kosa gani, yote Mungu anasamehe kumbuka hata waliomuua Yesu walisamehewa. Tubu na jisamehe, Mungu awakubali wakosa
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
Tell us what happened,possibly you are feeling burdened in very normal circumstances,unazungumzia madeni tu ndo unataka Mungu achukue roho yako?

Kama ayubu pamoja na magumu sana aliyoyapitia alimuomba Mungu achukue roho yake na bado aligoma,itakuwa wewe ambaye una kazi,Ila tumadeni tu ndo tunakutesa halafu unataka asikie kilio chako cha kuchukua roho yako kweli!???

Ukumbuke Ayubu sio tu marafiki waliomtenga hata ndugu zake pia,mke wake alimchoka sana,(can you imagine!!!?)
Ndugu, hebu kuwa mvumilivu,tuliza akili yako vema,fanya mipango ya maisha, rekebisha kasoro zako,kama kuna sehemu umewakosea wengine,waombe radhi,tubu pia kwa Mungu wako, hakika utashangaa!
Maisha yako yatabadilika,na furaha ya maisha yako itarejea! Vaa dhamira ya to a ya kweli,huku ukiomba Mungu anyooshe mapito yako uyaendeayo!!!(Mungu wetu ni mwaminifu sana,sana sana,kuliko tunavyoweza kufikiria)

Pole sana kwa unayoyapitia!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
My dear, haijalishi ulifanya kosa gani, yote Mungu anasamehe kumbuka hata waliomuua Yesu walisamehewa. Tubu na jisamehe, Mungu awakubali wakosa
Wakati huyo yesu mwenyewe alisema...ole wake aliyenisaliti ingekuwa heri kama asingezaliwa!
Ndo ujue kama kuna mambo yanakuwa beyond!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Don't give up my dear,
Dunia ina mengi na jaribu kuangalia wa chini yako.


Sent from my SM using Tapatalk
 
Kisa ni nini lakini? Ujue hata ukiwaza kufa napo ni dhambi. Muombe mungu yeye ndiye kilakitu na unaambiwa hakuna hali ya kudumu hayo yote ni mapito yatapitatu.

Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom