Baada ya kushirikiana nae mipango mingi ya maendeleo, mwisho wa siku anadai hatuwezi kuoana Labda tuzae, baada ya muda nagundua yupo na wasichana wengine kwenywe mahusiano, nakua mkali anadai basi tuwe rafiki wa kawaida ila tusiwe wapenzi
Dr.mimi Naomba kujua kama hospital hua kunadawa ya kutibu boasili, na nini mazara yake isipotibiwa, maana madakitari wa miti shamba wanatumalizia pesa zetu bila mafanikio
Kwakwel hauko peke yako ktk swala kama hili, Na mshangaa mungu mimi leo nilikua kanisan lakini moyo ulikua unaniuma sana machozi yakawa yananitoka mwanzo wa ibada hadi mwisho wa ibada, Yaani hata nikiwa napita barabarani nahisi machozi na siwezi kuvumilia, moyo wangu ukiwa unaniuma sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.