Recent content by Eulers

  1. Eulers

    Katika ardhi tambalale yenye mchanga, msingi upi ni bora

    Katika ardhi tambalale yenye mchanga, msingi upi ni bora kati ya ule wa mawe na wa tofali?
  2. Eulers

    Naomba kufahamishwa kuhusu nchi ya Wadia

    Nimekuta mjadala mahali fulani juu ya nchi inayoitwa Wadiya. Nimejaribu kufuatilia katika vyanzo mbalimbali mitandaoni, baadhi vinaitaja Wadiya kama Eritrea ya sasa na vyanzo vingine vinaitaja kama nchi ya kufikirika tu. Kwa wenye ufahamu juu ya jambo hili, ukweli hasa ni upi juu ya nchi ya...
  3. Eulers

    Maneno yaliyotumika kuifundisha Sayansi miaka ile, tupia unalokumbuka

    Force-Kani Mass- Tungamo Resistance- Ukinzani Upthrust-Kani mnyanyuo Current-Mkondo
  4. Eulers

    IJUE YANGA

    Maskini anaitwa Muddy[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  5. Eulers

    IJUE YANGA

    Timu yao ikiwa vizuri kifedha inaitwa DAR YOUNG AFRICANS Ikifulia inaitwa TIMU YA WANAINCHI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. Eulers

    Walikuwa wanacheka nini hawa?

    Nadhani walikuwa wanacheka kicheko Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Eulers

    Ni Neno Gani la Kiingereza lilikupa Tabu kutamka ukiwa Form one

    Characteristics, mimosa pudica plant, periplenata americana Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Eulers

    Wasomi wa nchi hii wana maisha magumu sana. Nimepita hapo Law school vijana wengi na masuti yao

    Kila mmoja ana ndoto na mipango yake na inawezekana njia pekee ya kufikia ndoto hizo ni elimu kubwa na ya juu.
  9. Eulers

    Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Ni pm kama hutojali Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Eulers

    Nahitaji marafiki wa kuchart nao

    Basi ni Pm, i'm a strong stress killer
  11. Eulers

    Naomba kufahamishwa kuhusu Kagango sec school

    Kagango ni shule nzuri, nilisoma pale O-level na pia niliwahi kufanya kazi shule hiyo.
  12. Eulers

    Nani kumrithi Waziri wa Nishati na Madini Prof. Muhongo?

    Hiki ni kipindi ambapo Rais anahitaji utulivu wa hali ya juu ili kupata mtu bora atakayeweza kusimamia wizara hii kikamilifu. Vilevile naunga mkono wazo la kuwa na wizara mbili kutoka ktk wizara ya nishati na madini ili kuongeza ufanisi na kuzingatia umuhimu na uhitaji wa nishati bora hasa...
Back
Top Bottom