ni vitu gani hivyo mkuu? Tujuzane tafadhali! Maana cku yoyote toka leo nategemea kwenda huko, nna kama m3 hivi nataka nkachukue nguo za watoto na mikoba
pole mkuu, mi naona kwanza kwa mapenz ya sasa utaja kufa kabla ya wakati, hebu fikir cku moja ukigundua ana m2, hebu ishi nae kwa uhuru kwamba cc ni binadam any thing my happen,
pole mkuu, kwa mwendo wa sasa ni bora uwe fifty fifty, mtu akijua kapendwa sana basi inageuka kuwa bakora kukuchapia, zaidi ww jiambie tu unahitaji kuanza upya kwa maana umejifunza kwa makosa yako, kumbuka lililo kupeleka hapo fanya hilo. Remember when love ends life continuous!
kwi kwi kwi! Kwa nn wasema hivyo excel? Unajua ktk kuongea na marafiki naona wengi wako na tatizo hili, ukiwa mtafutaji mume anasahau wajib wake badala yake..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.