Recent content by Eswa

  1. Eswa

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Wacha nitunze risiti yako, yawezekana nikaokota hata 50K
  2. Eswa

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa Zushu Na Diamond Anakaribia Kufikisha Billion Moja Alizopewa Kama Zawadi Ndani ya Wiki Moja Wakati CHADEMA Wanaelekea Kukata Tamaa Kukimbia

    Unajifungua lini Mkuu.? Hizi wiki za mwisho zingatia sana mazoezi ili ukasukume vizuri kichanga kitoke, ukishajifungua labda utakuwa na akili, tunajua ni mateso ya mimba.
  3. Eswa

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za ufisadi zimepunguza kasi ya uropokaji wa makamu mwenyekiti wa chadema taifa.

    Yaani wewe pamoja na Lucas Mwashambwa msipomsikia Heche mnawashwa balaa, akitoka na kuzungumza bado mnaendelea kuwashwa.
  4. Eswa

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ndie pekee mwanasiasa mzoefu kitaifa na kimataifa anayeaminika na kukubalika pasina chembe ya shaka ndani na nje ya CCM

    Siasa nyoko sana, mjadala wa Heche umepumzika sasa hivi umehamia kuwa msemaji wa Nchimbi 🤣🤣🤣. Mwanetu unayumbishwa kama pazia la bafu la uswahilini 🤣🤣🤣. Shubaaaaamit
  5. Eswa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya kwanza

    Lucas Mwashambwa Karibu kwenye darasa la sheria
  6. Eswa

    JamiiForums Tanzania Nani anaikumbuka THE PROMISE?

    THE LONG WAIT - ilikuwa 2006 au 2007 kama sijakosea.
  7. Eswa

    JamiiForums Tanzania Kongole kwa old xcul Bongo flava 30 yrs Concert

    Huu uandishi wa kutumia x badala ya s ni wa kijinga na kipuuzi sana. Hoja yako ilikuwa nzuri ila imekuwa ya kipuuzi na kijinga kwa uandishi wako
  8. Eswa

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani ulishawahi kudhulumiwa maishani mwako na kinakuuma mpaka leo hii?

    Aisee wale wauza laptop na TV wanaojifanya wako Pemba - Chakechake kumbe ni matapeli walaaniwe wapuuzi wale.
  9. Eswa

    JamiiForums Tanzania Wanao hoji ufisadi wa makamu mwenyekiti wa Chadema taifa kufukuzwa

    Matter-call
  10. Eswa

    JamiiForums Tanzania Je umewahi kukanyaga nchi gani? Taja list yako

    Tanganyika na Zanzibar
  11. Eswa

    JamiiForums Tanzania DC Mtambule: Uchunguzi wa vipeperushi vya Maandamano Kinondoni unaendelea, Polisi watawabaini walio nyuma

    Wale ambao Mwigulu alisema wamelipwa kufanya maandamano wameshakamatwa.?
  12. Eswa

    JamiiForums Tanzania Lissu alishawahi kuchangisha hela kwa lengo la kununulia gari jipya. Gari lilinunuliwa? Kama halikununuliwa hela za watu zipo wapi?

    - Na mimi nakuuliza swali leo ni mwaka wa 9 je waliomshambulia Tundu Lissu waliwahi kupatikana? - Kuna kesi au uchunguzi unaendelea, au ripoti juu ya tukio hilo? - Nani aliondoa walinzi na camera za ulinzi[CCTV] muda shambulizi linafanyika? Maswali muhimu sana haya.!
Back
Top Bottom