Recent content by Eswa

  1. Eswa

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kwa CHADEMA kumfanya Sugu kuwa Mwenyekiti wa Kanda?

    Wivu wa kijinga na kimaskini. Umewahi kwenda Desderia Hotel ukakuta panya na mijusi.?
  2. Eswa

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kwa CHADEMA kumfanya Sugu kuwa Mwenyekiti wa Kanda?

    Weka CV yake hapa
  3. Eswa

    JamiiForums Tanzania Baraza kuu la CHADEMA linapigwa chenga huku linalishwa na hela za donation na ununuzi wa Gali la Lissu ulipigwa chenga mwisho wa siku hela zikagongwa

    Wewe ndiye mpumbavu unayeumia na pesa za Chadema hadi unazionea wivu na unatamani "ugongwe" kama hizo pesa.
  4. Eswa

    JamiiForums Tanzania Wapenda hotuba za Rais Samia, tukutane hapa!

    Matter-coal
  5. Eswa

    JamiiForums Tanzania Uwezekano ni mkubwa hii nafasi ya Makamu wa Rais! Ikahusu hawa watu 3 pekee

    Inawezekana uliandaa uzi wako ukataka ku-post bundle likakuponza, leo umepata bundle lako ukaamua uutume tena bila kujiridhisha kwanza.
  6. Eswa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Pukutiko linaendelea...

    Nchi iko imara hadi VP anajiuzulu.??
  7. Eswa

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi ndiye turufu pekee ya umoja, amani, usalama na ustawi wa demokrasia ya Tanzania

    Chawa andaa andiko jingine sasa 🤣🤣🤣🤣
  8. Eswa

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo ndege inavyoanza safari Leo na kufika Jana.

    Absolutely engrossing.
  9. Eswa

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Wacha nitunze risiti yako, yawezekana nikaokota hata 50K
  10. Eswa

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa Zushu Na Diamond Anakaribia Kufikisha Billion Moja Alizopewa Kama Zawadi Ndani ya Wiki Moja Wakati CHADEMA Wanaelekea Kukata Tamaa Kukimbia

    Unajifungua lini Mkuu.? Hizi wiki za mwisho zingatia sana mazoezi ili ukasukume vizuri kichanga kitoke, ukishajifungua labda utakuwa na akili, tunajua ni mateso ya mimba.
  11. Eswa

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za ufisadi zimepunguza kasi ya uropokaji wa makamu mwenyekiti wa chadema taifa.

    Yaani wewe pamoja na Lucas Mwashambwa msipomsikia Heche mnawashwa balaa, akitoka na kuzungumza bado mnaendelea kuwashwa.
  12. Eswa

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ndie pekee mwanasiasa mzoefu kitaifa na kimataifa anayeaminika na kukubalika pasina chembe ya shaka ndani na nje ya CCM

    Siasa nyoko sana, mjadala wa Heche umepumzika sasa hivi umehamia kuwa msemaji wa Nchimbi 🤣🤣🤣. Mwanetu unayumbishwa kama pazia la bafu la uswahilini 🤣🤣🤣. Shubaaaaamit
  13. Eswa

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu - Siku ya kwanza

    Lucas Mwashambwa Karibu kwenye darasa la sheria
Back
Top Bottom