Tukishakwambia tunaacha shilingi ngapi then what.? Mbona kupenda kujua maisha ya wanaume wenzio wanaishije na familia zao.? Ndugu kuwa busy na maisha yako na familia yako, hii itakusaidia sana kuishi kwa amani.!
Huyu Nabii huwa namsikiliza usiku kwenye redio ya EFM, ana maigizo flani ya kufufua watu, kuna simu zinapigwa na wasikilizaji na kusema ndugu yao amefariki muda huo, so wanaomba msaada ili awasaidie, mara anawaambia roho ya ndugu yao bado ipo hapo ndani, anawapa maelekezo then unasikia wanasema...
Proffesional: Kiswahili Language Trainer for Foreigners
Experience:
8years of teaching Kiswahili to Foreigners
3 years as Hotel Manager (3*) and Restaurant Manager (Nungwi - Zanzibar)
Location: Dar es Salaam/Zanzibar
I can work as:
Hotel/Restaurant/Bar Manager/Supervisor
Guest Relation...
Viambishi vya mahali (locative suffix) "ko, po, mo"
Ko - general (ujumla)
Kiaambishi hiki hutumika unapoongelea mahali kitu/mtu alipo kwa ujumla (general).
Mfano: Niko Dar es salaam (Dar es salaam ni kubwa na haifafanui upo Dar es salaam sehemu gani)
Pia kiambishi -ko kinatumika unapouliza...
Heri ya mwaka mpya wadau
Mimi ni Mwalimu wa Kiswahili kwa Wageni na nimethibitishwa na Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) mwaka 2019. Nina uzoefu wa miaka miaka 7 na nimefundisha wageni katika taasisi mbalimbali zikiwemo za kitaifa na kimataifa. Pia nimeshiriki kuweka kozi ya kiswahili kwa...
Tafadhali wasiliana na upande wa huduma za kisimbuzi ili kupata msaada wa changamoto uliyonayo,
Tuma neno "habari" kwenda na 0677996611 kupitia WhatsApp kisha chagua huduma unayotaka kwenye orodha utayotumiwa.
Unaweza pia kupiga *150*50*5# na kuchagua huduma unayotaka na kupata msaada binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.