Unajifungua lini Mkuu.? Hizi wiki za mwisho zingatia sana mazoezi ili ukasukume vizuri kichanga kitoke, ukishajifungua labda utakuwa na akili, tunajua ni mateso ya mimba.
Siasa nyoko sana, mjadala wa Heche umepumzika sasa hivi umehamia kuwa msemaji wa Nchimbi 🤣🤣🤣. Mwanetu unayumbishwa kama pazia la bafu la uswahilini 🤣🤣🤣. Shubaaaaamit
- Na mimi nakuuliza swali leo ni mwaka wa 9 je waliomshambulia Tundu Lissu waliwahi kupatikana?
- Kuna kesi au uchunguzi unaendelea, au ripoti juu ya tukio hilo?
- Nani aliondoa walinzi na camera za ulinzi[CCTV] muda shambulizi linafanyika?
Maswali muhimu sana haya.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.