Namba moja hadi nne ni sawa. Na ndio maana baadhi ya jamii na dini huruhusu mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja kwa sababu ya hayo mambo ya kimaumbile. Ila namba tano hiyo ni tabia tu.
Wakuu naomba kufahamu kama nitajitahidi kuwekeza na kujiajiri katika uanzishaji wa shule ya awali. Kama kuna sheria na kanuni zozote ambazo zinatakiwa kufuatwa naomba kufahamishwa hapa. Pia msaada wa vitu kama gharama na mambo mengine ya msingi kwa wenye uzoefu. Eneo ambalo nafikiria kufanya huo...
Wakuu naomba kufahamu kama nitajitahidi kuwekeza na kujiajiri katika uanzishaji wa shule ya awali. Kama kuna sheria na kanuni zozote ambazo zinatakiwa kufuatwa naomba kufahamishwa hapa. Pia msaada wa vitu kama gharama na mambo mengine ya msingi kwa wenye uzoefu. Eneo ambalo nafikiria kufanya huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.