Naomba kufahamishwa kanuni na sheria za kuanzisha shule ya elimu ya awali

eskei

Member
Dec 29, 2017
11
3
Wakuu naomba kufahamu kama nitajitahidi kuwekeza na kujiajiri katika uanzishaji wa shule ya awali. Kama kuna sheria na kanuni zozote ambazo zinatakiwa kufuatwa naomba kufahamishwa hapa. Pia msaada wa vitu kama gharama na mambo mengine ya msingi kwa wenye uzoefu. Eneo ambalo nafikiria kufanya huo mradi ni Dar.
 
Taratibu zote zipo Kwenye mtandao wa wizara ya elimu Mkuu
Ingawa kwa kifupi ni kwamba watahitaji kujua ukubwa wa eneo unalotaka kujenga hiyo shule. Ukubwa wa maeneo hutofautiana kwa mjini na vijijini

Pia watataka kuona michoro ya Majengo ya Hiyo shule.

Kibali kwa mara ya kwanza utaenda kukiomba kwa afisa elimu wilaya kama sijakosea na watakuja kukukagua

Wakishajiridhisha watakupa kibali na maombi yako yatapelekwa wizara ya elimu na tamisemi
 
Taratibu zote zipo Kwenye mtandao wa wizara ya elimu Mkuu
Ingawa kwa kifupi ni kwamba watahitaji kujua ukubwa wa eneo unalotaka kujenga hiyo shule. Ukubwa wa maeneo hutofautiana kwa mjini na vijijini
Pia watataka kuona michoro ya Majengo ya Hiyo shule.
Kibali kwa mara ya kwanza utaenda kukiomba kwa afisa elimu wilaya kama sijakosea na watakuja kukukagua
Wakishajiridhisha watakupa kibali na maombi yako yatapelekwa wizara ya elimu na tamisemi
Ahsante sana. Je kama hizi ambazo tunaziona mitaani ambazo unakuta mtu anaeneo fulani tu kwenye nyumba hapo hapo kuna hizo center. Hapa ?
 
Ahsante sana. Je kama hizi ambazo tunaziona mitaani ambazo unakuta mtu anaeneo fulani tu kwenye nyumba hapo hapo kuna hizo center. Hapa ?
Nyingi za shule hizo mkuu hazijakidhi viwango na nyingi Sana hazijasijiriwa na wizara husika

Lakini wengi hupenda kuanzisha ndo baadae wanafuatilia usajiri husika. Lakn mara nyingi huanzisha kama tuition kwa Watoto baadae wanazigeuza kuwa shule za awali

Tatizo wakija wakaguz huwa ni shida Sana maana unajikuta huna kibali, eneo siyo rafiki kwa Watoto na mambo mengine mengi

Jambo la muhimu Sana mkuu ni kuanzisha hiyo shule huku taratibu ukizifuatilia taratibu
 
Nyingi za shule hizo mkuu hazijakidhi viwango na nyingi Sana hazijasijiriwa na wizara husika

Lakini wengi hupenda kuanzisha ndo baadae wanafuatilia usajiri husika. Lakn mara nyingi huanzisha kama tuition kwa Watoto baadae wanazigeuza kuwa shule za awali

Tatizo wakija wakaguz huwa ni shida Sana maana unajikuta huna kibali, eneo siyo rafiki kwa Watoto na mambo mengine mengi

Jambo la muhimu Sana mkuu ni kuanzisha hiyo shule huku taratibu ukizifuatilia taratibu
Shukran sana
 
Back
Top Bottom