Recent content by esimon

  1. E

    Saa moja ya 'mapambano' mimi na waliojitambulisha kuwa ni Polisi

    Mm siku moja pia kwenye taa alingia hivyo hivyo na akasema wameambiwa nimebeba mirungi taa ziliporuhusu gafla ananiambia samahani siyo gari Yangu wamefananisha nikamshusha nakuendelea na safari zangu ila police wa Tz ni majambazi kabisa
  2. E

    Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

    Kila mkoa kuna street inaitwa uhayani street kazi yao ni kuuza miili kwa bei chee kabisa nenda Arusha utakuta kwa wahaya iko mjini kati K za buku mbili unapata ,wahaya mnajidhalilisha sana
  3. E

    Maswali fikirishi Juu ya ndege za abiria

    Tyre za ndege in free wheel inatembea kufuatana na speed ya ndege ,hebu fikiria ndege ingekuwa inatembea let's say 250km/h surface speed alafu tyre imefunguka ikawa 150km/h huoni hapo ajali zingekuwa haziishi
  4. E

    Sehemu ya msitu wa mlima Kilimanjaro inaungua moto!

    Tunashukuru sisiem kwa kutuletea moto maana baridi ilizidi.
  5. E

    Tanzania kujipatia faida ya asilimia 60 nayo Uganda ikipata asilimia 40 kutokana na uwekezaji wa mafuta

    Alafu watanzania tuwe wagikirifu kidogo,kwanza tujadili nn maana ya faida? Faida ni kinachobakia baada ya kulipa / kutoa running cost zote kinachobakia ndo faida sasa sisi tunausikaje ktk running cost ili nasi tuoewe dividend ? Hapo share holders tu ndo wanagawana kwa mtindo wa percent cc...
  6. E

    Bashiru unajaribu kumshika simba sharubu zake? Umetumwa?

    Jamani kwetu hizo attachment hazifunguki kwa waliyoziona VP zinasemaje
  7. E

    JWTZ kushika nafasi ya 27 kwa ubora duniani

    Hakuna nchi yoyote ya Africa inayoweza kushika hiyo renk achilia mbali Tz
  8. E

    Huduma ya kupandikiza mimba Muhimbili

    Mm siyo Dalali ila Kuna mtu nilimpeleka hapo alitokea mkoa wa jirani
  9. E

    Msaada: Sehemu nzuri tulivu ya kulala Morogoro

    Hujatembea ww njoo Arusha Makao mapya na kaloleni zote ni guest
  10. E

    Huduma ya kupandikiza mimba Muhimbili

    Kuna daktari bingwa alishomeshwa nje na hisoitali ya kcmc aliporudi ilikuwa yeye ndo aanzishe Huduma hiyo pale Kcmc sijui walikosana nn na mgt hivyo akaja Arusha na kufungua kituo chake na anafanya Kila kitu kuhusiana na hitaji lako kama VP njoo pm tujadili jinsi ya kukuunganisha nao
  11. E

    Huduma ya kupandikiza mimba Muhimbili

    Mbona hapa Arusha kuna clinic moja wanafanya tuu sema ni aghali kidogo
  12. E

    Hassan Mwinyi: Tanzania kuwa mabeberu wa umeme Duniani

    Ethiopia bwawa lao linazalisha megawatt 7000 na wana lingine jipya linazalisha nafikiri megawatt 2000 hivyo kwa muda so mrefu wanakuwa na jumla ya megawatt 13,000 wakati sisi hatujafikisha kwa jumla 4000
  13. E

    Imekaaje CDF kumpigia salute Mkuu wa Wilaya?

    Jibu ni very simple kiprotocal mkuu wa wilaya ni mkubwa zaidi ya viongozi wa majeshi na ndiyo maana mkuu wa wilaya atatajwa kwanza kwenye utambulisho kabla ya wakuu wa majeshi Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
  14. E

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Tumia akili kidogo tu kaka what if katika kujihami kwake alinyanyua mguu wa kulia na wakushoto ukawa Chini? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom