Recent content by Escobar jr

  1. E

    Hadi leo Manji bado ameshikiliwa na Polisi

    H Habari, siyo habali
  2. E

    Kutajwa kwa Mbowe: Kisa ni Billicanas inayomilikiwa na Mbowe Hotels

    HV kuna bilicanas kweli? Huyu bwana anaongea vitu ambayo vishapotea kwenye Raman ya bongo. Be updated bro!
  3. E

    Taja kitu kinachokukera kwenye serikali ya awamu ya tano

    Se Sema cna hela, sio hela Hamna!!
  4. E

    Tangu Magufuli aingie madarakani ni mambo mawili tu ninayompongeza

    Kwani English ni nn kwake hata asipojua?
  5. E

    Addis Ababa Ethiopia: Hongera Rais Magufuli kwa kukitangaza Kiswahili AU

    Kwan wewe ulitaka ahotubie kwa lugha gan ili uskaribishe mada?
  6. E

    Njaa Tanzania: Mke wa Mfalme wa Ufaransa alipowataka wafaransa wale keki kama mikate ni ghali

    Rorya watoto 2 wamefariki kwa kula chakula chenye sumu "ongata" kwa kukosa chakula.
  7. E

    Zitto: Idadi ya wabunge wa upinzani kwa sasa tunatosha kumg'oa Rais Magufuli

    Hoja ya Zitto ni fikirishi. Hata kama atashindwa kumng'oa Rais lkn kwa Mara ya kwanza rekodi itaandikwa kwamba amenusurika kama Zuma na dunia itajua ni kwa nini! Kubaka katiba. Hii ni aibu kubwa. Na iwe fundisho. Endelea Zitto tuko wengi mno ndani ya CCM tunaokuunga mkono.
  8. E

    Ukaguzi wa vyeti kwa watumishi wa umma ilikuwa ni danganya toto

    Kwa hyo kisandu ni kichaa!!.. Cjakuelewa hapo
  9. E

    Hii ndio dini ya kweli na ndio nimeamua kuifuata

    Karibu sana mkuu. Mi niliingia 2009, nayaona mafanikio hasa baada ya kumrestisha mamangu.
  10. E

    Utabiri 2017 Maalim Hassan Y. Hussein afunguka

    Una ugomvi na Lowassa, Sumaye na Kingunge.
  11. E

    PhD ya Dkt. Rais Magufuli iko sahihi, uthibitisho huu hapa

    Kwelii, umetoa ufafanuzi mzuri na wa kisomi kuhusu PhD. Tatizo uchambuzi wako haujatoa hitimisho. Je kati ya hzo zote, ni IPI hasa alonayo mheshmiwa
  12. E

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Lakin mi bora anaekwambia ukweli sasa, ili ujue unajipanga VP, kuliko yule anaekufariji na kukuahidi halaf asitimuze hyo ahadi
Back
Top Bottom