Utabiri 2017 Maalim Hassan Y. Hussein afunguka

Utabiri 2017 Maalim Hassan Y. Hussein afunguka

Utabiri sio dhambi ....Kwani elimu ya nyota...hata yesu alipozaliwa wanajimu walisoma ile nyota na kujua fulan amezaliwa pahala fulani hata ww ulpoxaliwa nyota yako ilionesha...ila ka sie tusojua ndo ivo ila hata hao viongoxi wa nchi hawaendi popote bila kutazama elimu ya nyota ipo kabisa...ivo uyo kafanya utabiriwi kulingana na elimu yake....na sometime mambo hubadilika
Utabiri wa nyota hakuna

Utapeli hakuna kitu cha nyota
 
fd21648c3f9733b3e8799e6fc7bb6664.jpg


Mtabiri maarufu Tanzania Maalim Hassan Y. Hussein na ambaye pia ni mtoto wa alokuwa mtabiri wa Tanzania na Afrika Mashariki the late Sheikh Yahya Hussein ametabiri mambo mengi na matukio mengi yanayotarajiwa katika mwaka huu 2017 ....

Miingoni mwa hayo ni .....
"Viongozi wakubwa wa vyama vya upinzani duniani ikiwamo Tanzania watarejea kwenye vyama walivyovihama" ...... " .... sambamba na kifo cha chama kimoja maarufu cha siasa hapa nchini" Alisema Maalim Hassan Y. Hussein ....

Na: Frank Monyo - Nipashe
Huo ni uongo wa mchana kweupe. Ukiangalia ametumia Probability kwa kutumia hisia ya hali ilivyo ambapo INAWEZA au HAIWEZI kutokea, kwa mfano kuhama vyama, hilo ni jambo obvious na mifano ipo kama Machali na Kafulila, sioni utabiri hapo zaida ya kucheza na akili za Watanzania.

Ni uongo mtupu.
 
Anayefaham mambo ya ghaibu ni mungu pekee.
Akamuulize Yule anayejiita nabii Joshua kwenye utabiri wa lowassa na kule kwa Trump.
 
Back
Top Bottom