Recent content by Ernesto Sheka

  1. Ernesto Sheka

    Makofi ya Mbowe na kizungumkuti cha maadili ya Viongozi Tanzania

    Anayejisaidia eneo la wazi lazima iwe specified amechafua wapi ili aadhibiwe?Usiruhusu itikadi ikuharibie uwezo wa kufikiri.
  2. Ernesto Sheka

    Do we need a Price Regulatory Authority in Tanzania?

    Rudia kusoma michango ya wanabaraza toka mwanzo ndugu.
  3. Ernesto Sheka

    Do we need a Price Regulatory Authority in Tanzania?

    Magazeti ya kifisadi ni yapi?Naona umeshaweka siasa kabla hata hujaanza mjadala.Actually niliulizia scale ya lengo kwa taifa zima.Rudia kusoma post yangu na asante kwa kuchangia.
  4. Ernesto Sheka

    Makofi ya Mbowe na kizungumkuti cha maadili ya Viongozi Tanzania

    lost in the middle of nowhere.
  5. Ernesto Sheka

    Makofi ya Mbowe na kizungumkuti cha maadili ya Viongozi Tanzania

    I think hilo la UVCCM ungelifanya wewe kama mimi nilivyofanya kwa hili.
  6. Ernesto Sheka

    Watu wasiposhiriki mchakato wa kisiasa; Wakichaguliwa wasiotakiwa nani alaumiwe?

    Uko Marekani na wewe ni Mtanzania Unao uwezo wa kurudi nyumbani au kutengeneza voters registration program ndogo katika jimbo lako na ukaifadhili wewe na marafiki wachache.(Keep in mind idadi ya wakazi katika jimbo na ethics ya volunteers).Pia una uwezo wa ku-mobilize hawa uliowahamasisha...
  7. Ernesto Sheka

    Makofi ya Mbowe na kizungumkuti cha maadili ya Viongozi Tanzania

    Ufinyu wa fikra utakusumbua kwa muda mrefu maishani.That I guarantee.Fuatilia kwa makini utajua mimi ni mfuasi wa fikra zipi,usikurupuke kama ulivyom-quote Marando usiyejua lolote kuhusu that particular quotation.Jitahidi usiwe superficial arm chair activist.
  8. Ernesto Sheka

    Makofi ya Mbowe na kizungumkuti cha maadili ya Viongozi Tanzania

    Nilikuwa mmoja kati ya watu waliohudhuria onyesho la Joseph Mbilinyi (MB) pale Club Bilicanas baada ya Bunge la Februari. Kwa wale mliokuwepo nadhani mnakumbuka matusi aliyokuwa anayatoa Joseph waziwazi huku akipigiwa makofi na Freeman Mbowe, usiku ule mbele ya Wananchi. Mbunge anavitukana...
  9. Ernesto Sheka

    Do we need a Price Regulatory Authority in Tanzania?

    Mtanganyika nashukuru sana ndugu yangu. On top,kuna walakini na elimu inayotolewa kwa vijana wetu.Angalia wengi waliotoa maoni hapo juu utaelewa kitu ambacho kila mara kimekuwa kero kubwa kwangu binafsi hasa kwenye hizi forums za mitandaoni.Ubishi usio na tija.
  10. Ernesto Sheka

    The Japanese Earthquake and its Aftermath

    Tune into LIVE coverage here; Ustream.tv: You're On
  11. Ernesto Sheka

    Do we need a Price Regulatory Authority in Tanzania?

    Is that not what I asked?!Safari tuliyo nayo kweli ni ndefu!!
  12. Ernesto Sheka

    Do we need a Price Regulatory Authority in Tanzania?

    Mdondoaji,angalia jambo kwa upana wake.Kwa kiasi kikubwa derived,utakuwa unaongelea imports (out of hand unless we have a control on international business which we don't),consumables (YES,we can by tax / subsidy tools). Let me insist here,hata taifa la kibepari linaweza kuwa na price...
Back
Top Bottom