Mutambukamalogo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 397
- 85
Eti aliwaambia wale walioiba write up ya mradi wake wa malaria kwamba hawajaambulia kitu bali walijihangaisha tu. Yeye sasa hivi ana bingo kubwa kuliko wao. Na waliiba ma documents hawakuiba akili na busara zake........hayo nayo ni matusi jamani..........Kuwa muwazi utuambie hayo matusi yaliyokuwa yanatukanwa