In short ukiingia jeshini kwa minajiri ya kujitafutia pesa hata hiyo koz yenyew hutamaliza namanisha kuvumilia kwako kutakuwa mdogo sana.
Nikuambie tu mafunzo ya jeshi ni roho wala sio mwili kuna mda utapgwa stick zaid ya punda aliyegoma kubeba mzigo sasa ukiwa na mentality kama unayoiuliza...
Sijawahi kutukana mtu ila daa, ulitakiwa uwe wa kwanza aisee, sijui unakwama wapi, mwishoe mtasema na waliosomesha la bodi ya mikopo nao hamna kitu pia.
Watu na utajiri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.