Recent content by Erisha Elly

  1. E

    Wanawake hebu tujitahidi sasa kujishusha kwa wanaume wetu Ili kunusuru hali

    Wanawake wa leo hii hii mada wanaiona kama vile wapoteza muda kuusoma ni wachache wanaoweza kuifanyia kazi tena labda wale ambao ni wacha Mungu saaaana lakini kuna wanawake leo hii unamshauri hashauriki ila anajiamini kwamba hata yeye una uwezo kimaisha sana sana akiwa amesomea vitu kama...
  2. E

    SWALI: Kati ya Shetani na Adamu nani alikuwa wa kwanza kuwepo duniani

    Habari ya saizi wakuu humu JF natumaini wengine wameshapumzika na wengine bado Kuna swali linawahusu wale waliojua maarifa ya ki Mungu yaani wameyashika maandiko Ya Mungu Swali lenyewe ni hili Je! Kati ya shetani na Adamu yupi alikuwa wa kwanza kuwepo duniani majibu yawe na refferences...
  3. E

    Mimba imeingia majuzi, nifanyaje?

    Hiyo unataka kutenda dhambi ndugu acha mawazo ya kutoa
  4. E

    KIBITI: Askari mgambo auawa kwa kupigwa risasi

    MAMBO SI SHWARI KIBITI TENA
  5. E

    Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

    Weweeeeee ndoa ni kufuata maandiko yanasemaje kuhusu ndoa na sio kwa kuwa na wewe unaweka mshahara wako mezani ndio uwe na zarau kwa mmeo Uweke mshahara mezani au usiweke Mme wako aweke mshahara mezani au asiweke atabaki kuwa mme na maandiko yanavyosema enyi wanawake watiini waume zenu nanyi...
  6. E

    Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

    Wazo zuri hili mkuu[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
  7. E

    Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

    Kuiweka ndoa yako iwe nzuri ni akili na kumtegemea Mungu na sio ujanja ulionao
Back
Top Bottom