Recent content by Erickjr

  1. Erickjr

    Sitaki na siwezi kupenda na kuamini mwanamke tena

    Polee Mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Erickjr

    Ni maeneno Gani mengine ya kiingereza wanayopenda kuyatumia watu Ukiacha 'Maybe na sorry'

    Kweli....Ila Nani Huyo Kwenye Avatar Yako? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Erickjr

    Ni maeneno Gani mengine ya kiingereza wanayopenda kuyatumia watu Ukiacha 'Maybe na sorry'

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Erickjr

    Mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Sugu amvisha pete ya uchumba Happy

    Me mwenywe nashangaa kwa kweli....Na sikutegemea mtu kma sugu kufanya hivi, Matokeo ya wazungu haya. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Erickjr

    Wapenzi wa nyimbo za Oldskool (mtaa wa mangoma) tukutane hapa

    Daaah!! Hiyo Soul 4 Real- Candy, Umenikumbusha Mbali Mnooooo Mkuuuu....Daaahhh!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Erickjr

    Ni wimbo gani mzuri kuliko zote ulizowahi kusikia?

    1.Soledad-Westlife. 2.U Are Not Alone-Michael Jackson. 3.Heal The World-Michael Jackson. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Erickjr

    Message to you all

    Inapendeza.... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Erickjr

    Mwili wa Frank Kapange watimiza siku 206 mochwari.

    Alikamatwa Kwa Kosa Gani Kwanza??? Besides Inasikitisha Sanaa Kijana Mdogo Na Ndio Kwanza Anatafuta Maisha Na Kwa Kazi Halali.... R.I.P Young Warrior. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Erickjr

    Nimekuta SMS za mapenzi kwenye simu ya mpenzi wangu; nifanyeje?

    Umeona mkuu....aitakiwi kuendekeza wakat kuna mambo ya msingi pia ya kufanya katika maisha Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Erickjr

    Nimekuta SMS za mapenzi kwenye simu ya mpenzi wangu; nifanyeje?

    Nimependa [emoji23][emoji23] Kuna Kama Utani Lakini Ndivyo Inavyotakiwa!! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Erickjr

    Nampenda sana na inanitesa sana

    [emoji23][emoji23]
  12. Erickjr

    Ubest kwenye biashara tunarudishana nyuma wengine kusema hatuwezi

    Next Time, Waambie Hiyo Sio Ofisi Ya Tala Au Branch....Unakua Serious Mkuu Ukileta Huruma Za Mshumaa Shaul Yako.
  13. Erickjr

    Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

    Ushahid wa yy kuiga weka hapa kwanza, pili yy ni real kwa sababu anaishi atakavyo yy sio watakavyo watu! Unafaham pesa zake anakowekeza au zinapokwenda? Pili hao babu tale watu wa hovyooo sanaaa mbona before hawakusema hayo? Tabia za kidemu hizo wangekaa kimya watu wakajionea wenywe.
  14. Erickjr

    Je! Unakubaliana na mimi kuwa huyu ndiye king wa soka kuwahi kutokea!!

    Huyu Ndio Mwenywe Sema ndio hivyo mademu wameua kipaji.
  15. Erickjr

    Nimepigwa na house girl

    Yawezekana Ameibiwa Lakin.... Ni Pesa Ilio Chini Ya Laki 7 Na Inamuuma. Labda Kaamua Kusema Laki 7 Hili Kupata Attention Lakini Ela Aliyoibiwa Ni Chin Ya Laki 7! Mtazamo Huu.
Back
Top Bottom